Tundu Lissu: Wabunge waliongezewa kura feki 11,383 kila mmoja na hakuna takwimu za kura za Rais kwa kila Kituo

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
84,036
142,127
Makamu mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Lisu amesema kwa mujibu wa taarifa rasmi za Tume ya Uchaguzi utagundua hakuna Mbunge wa Kuchaguliwa kule Bungeni

Lisu anasema wakati wa Uchaguzi Mkuu NEC walisema wapiga kura walikuwa 11,800,000 lakini Kwenye ripoti rasmi wanasema wapigakura walikuwa 14,500,000 hivyo kuna nyongeza ya takribani kura 3,000,000 za ziada ambazo ni feki Sawa na kura 11,383 kila Mbunge

Lissu amesema ndio sababu Hayati Magufuli alikuwa anawatambia Wabunge kwamba Bila eye wasingeingia Bungeni

Lissu anasema NEC haina takwimu za kura za Rais Magufuli kwa kila Kituo, kata, Wilaya kama ilivyokuwa kwa Rais wa Zanzibar bali wanazo za Jumla tu ambazo ni takribani 12,500,000

Tundu Antipas Lissu amesema anayebisha aende Tume ya Uchaguzi akahakiki

Lissu ameyasema haya katika mkutano mkubwa wa hadhara huko Ikungi

Naona Tundu Lissu amewasha moto
 
Makamu mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Lisu amesema kwa mujibu wa taarifa rasmi za Tume ya Uchaguzi utagundua hakuna Mbunge wa Kuchaguliwa kule Bungen...
Magufuli hakukosea ule mpango wake kuna watu hawakutakiwa kuishi ndio maana hata mbowe anamweka pembeni maana huyu jamaa kichwa kikubwa kama puto la kichina ila busara zero


USSR
 
Magufuli hakukosea ule mpango wake kuna watu hawakutakiwa kuishi ndio maana hata mbowe anamweka pembeni maana huyu jamaa kichwa kikubwa kama puto la kichina ila busara zero


USSR
Hahaha.......!
 
Magufuli hakukosea ule mpango wake kuna watu hawakutakiwa kuishi ndio maana hata mbowe anamweka pembeni maana huyu jamaa kichwa kikubwa kama puto la kichina ila busara zero


USSR

Busara na ukweli kipi zaidi? Magufuli hakukosea maana yeye sio Mungu. Ila Mungu 17/3/2021 alionyesha kuwa yeye hakosei. Ingia kwenye tovuti ya tume ya uchaguzi leo hii uone kama kuna matokeo ya uchaguzi wa 2020 kisha uje tujadili busara unayotaka.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom