Mbona basi mnamjadili Lissu badala ya kujadili baraza la uongozi wa TLS ambalo ndio limetoa tamko na Lissu kasomo kwa niaba ya baraza tu?badala ya kujadili mada tunaanza kujadili mtu personal ndomana jf inapoteza uthamani wake wa miaka ilee niliyojiungaga
swali ambalo sijapata jibu ni kwa kua mtanzania wa kwanza kumiliki pingu acha na makandokando mengineyomla rushwa kwann asijichambue mwenyewe kwenye ile 10M. Aweke uzi hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
wapi kiherehele tuHuyo Jerry ni mwanasheria? ni member wa tls?
We have to discuss the above topic mkuu sio personality yake, mbona tunakosa maarifa kadri siku zinavyokwenda?mla rushwa kwann asijichambue mwenyewe kwenye ile 10M. Aweke uzi hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
Jerry Muro ndio yule alikamatwaga kwa kula rushwa ya 10mil. au ni mwingine? Na ambaye alikuwa msemaji wa Yanga akafukuzwa!!?
Sioni hoja inayopinga post zaidi ya madhambulizi ya kishabiki. Post nzuri leteni hoja zenye mashiko. Sisi tupo kwa kujifunzakila mtu anapo kuwa na mawazo yake yasijumuishwe kuwa ni mawazo ya wote... au kuya fananisha kwakuwa kila mtu kachambua kivyake... au kajieleza kivyake...
wewe ukiulizwa jina na yule hivyo hivyo... mtataja jina moja kuwa JUMA ABDUL... swali laweza kuwa moja majibu ni tofauti... na ndio maana kuna nyuzi za kilimo lakini kila mtu kaelezea yeye kwa namna yake
very true,swali ambalo sijapata jibu ni kwa kua mtanzania wa kwanza kumiliki pingu acha na makandokando mengineyo
Tatizo anazo hoja unless ithibitike kiushahidi kuwa "polisi" walihusika.Kwa kumbukumbu zangu na kama sikosei,Jerry Muro hata uvamizi wa Bashite clouds aliutetea hadharani.
Si hivyo tu,hata Manji alipokamatwa kwa mara ya kwanza kuhusiana na tuhuma za kutumia dawa za kulevya alionekana kuunga mkono kukamatwa kwake pale alipohojiwa channel 10 katika kipindi cha Mada Moto.
Huyo ndio Jerry.
U-DC unatafutwa kuputia migongo ya watu.