Tundu Lissu na Mchungaji Msigwa, acheni chuki za kitoto kwa Zitto

akuna tabia ya kipuuzii kama kupenda kupeana mikono watu wavivu ndiyo hupenda kupeana mikono!!!
angempa mkono angeonzekewa nini?
waza vitu vya maana vya kujenga nchi na kuwapa watu marifa !!
acha ushamba wakupenda kushikwa shikwa mikono!!!
 
Ndo siasa uchwara hizo mkuu Mkirindi. Yani ukisikia mtu anakwambia siasa uchwara basi ujue ni siasa za namna hii.

Ndo maana Rostam aliamua kuachana nazo. Ninahisi watu wenye ngozi nyeusi tulilaaniwa.
 
Last edited by a moderator:
Ameakuambia yeye si mnafiki. Unamfukuza mtu halafu unajidai una mtakia kila la heri! Ni kama mtu kapewa summary dismissal kazini halafu ofisi inafanya party kumuaga. Kufukuzwa ni gooooo...kafie mbali huko.
 
technically,unataka kusema alipewa mkono na wabunge wote waliosalia...??
 
Anachofanya Lissu ni kutaka kujipendekeza kwa Mbowe na Mtei, anasahau kuwa jamii inamtazama yeye kama yeye!

Cha ajabu Zitto kaonyesha ukomavu na hama kwa hakika wamemkuza, nakumsogeza level ya juu mno...hongera zitto!

Lissu ni kumwangalia na kumwonea huruma! atabaki hivyo alivyo...sidhani kama Lissu huawa hawapi mikono CCM, katika hili kwa akili zake; adui mkubwa wa Lissu ni zitto na sio CCM!

Nashangaa hivi, hii minyukano inayoendelea ndani ya CCM ingekuwa ni chadema ingekuwaje? matured political party is equivalent to matured members

Shame shame shame! Msaliti na vibaraka wa wasaliti hamna nafasi CHADEMA.
 
Ndo siasa uchwara hizo mkuu Mkirindi. Yani ukisikia mtu anakwambia siasa uchwara basi ujue ni siasa za namna hii.

Ndo maana Rostam aliamua kuachana nazo. Ninahisi watu wenye ngozi nyeusi tulilaaniwa.
Mimi sio mshabiki wa Ziito ila nimemwona Zitto akiwa Muungwana sana..kwa niaba ya Lisu ninampa zitto Mkono wa kwaheri Mungu amwongoze Huko aendako na Pia aibariki CDM isonge mbele..Yaliyopita si ndwele tugange yajayo...I will miss you ZZK in Great CDM
 
Sina hakika kama Yuda alishapata nafasi ya kupeana mikono na Yesu!
 
Kitu kinacho tushangaza wengi wetu ni Busara ya Mhe Tundu Lissu Kukataa kumuaga au kupokea mkono wa kweheri kutoka kwa Mhe Zitto siku alipokuwa analiaga Bunge.

Mimi Binafsi hili jambo limenishtua na kuniudhi sana, kwani maoni yangu juu ya Tundu Lissu yalikuwa mazuri sana, na nilitegemea amekuwa mwanasiasa aliyepevuka lakini bado mbichi sana, na hana dalili ya kupevuka.

Bw. Lissu mara ngapi amemtukana Raisi wa Nchi Bungeni na baadaye akakutana na Raisi , iwe Nje au Ikulu. Raisi humpokea na kuzungumza nae, na hatujaona mkono wake wa salaamu ukakataliwa.

  1. Katika siasa watu hugongana kisiasa lakini hayo hayaendi mbali. Akina Raila Odinga Na Kibaki na genge lake walisabisha watu kuuana na damu ikamwagika na baadaye wakaungana kwenye serekali ya mseto.
  2. Ukrain na Russia wanapigana na kuuana, lakini majuzi walipokutana, walipeana mikono na kuweza kuzungumza.
  3. Raisi Kikwete na Raisi wa Malawi maelewano yao kuhusu Ziwa Nyasa wote tunayajua yalivyokuwa, lakini walipokuwa wakikutana wanasalimiana na kuzungumza.

Sasa iweje mtu msomi kama Bw Lissu, unakata kumuaga ndugu yako, kijana mwenzako eti kwa sababu yeye sio mnafiki, Hivyo sasa hiyo tabia yake ndio iitweje ?

Tundu Lissu today he has show Political immaturity, Arrogance and disrespectfulness to humanity.


http://habarileo.co.tz/index.php/habari-za-kitaifa/36983-lissu-akataa-kumuaga-zitto

Mjinga tu huyo
 
Kwel gakumtendea haki zitto ila ambacho abgekifanya angempa mkono huku amenuna na kaangalia pemben lingekua jambi la busara
 
Zitto ni mnafiki ndiyo maana kahamia ACT na gari yao kupata ajali
 

Attachments

  • 1427178222164.jpg
    1427178222164.jpg
    38 KB · Views: 148
wabongo ni wanafki na wajinga...unampa mkoni mtu uliyekosana nae ya nini

Wewe na Lissu wote waropokaji na akili zenu sawa, nani alikuambia siasa ni ugomvi? Mbona CHADEMA walisema CUF ni CCM B na pia CUF wanaunga mkono sera za ushoga hadi ngumi kidogo zipigwe bungeni lakini leo wako pamoja kwenye UKAWA na wanapeana mikono?
 
Back
Top Bottom