Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,530
- 93,110
Kwenye keyboard ya computer kila button ina kazi yake, wacha kutetea ujinga, wewe ndio mvivu wa kufahamu. Binafsi siwezi hata kupoteza muda wangu na kujiumiza macho kusoma thread ya namna hii isiyokuwa na mpangilio.Content yake unaionaje, acha kutafuta sababu za uvivu wa kusoma.