Philipo Mwakibinga
Senior Member
- May 13, 2013
- 111
- 175
Hii ni kwasababu kwanza bado hajajua achague kipi kati ya kuendelea kuwa Mwanaharakati au Kujiandaa kuwa Kiongozi. Hali hii imemfanya afanye harakati sana hata anapokuwa kiongozi. Nivyema akabaki kuwa Mwanaharakati tu kwasababu huwezi kuwa Mwanaharakati halafu kiongozi hakuna kabisa kwenye ulimwengu wa siasa.
Hana rekodi yoyote ya Uongozi Bora. Lissu amekuwa mpambanaji kwa muda wote na siyo kiongozi. Sifa ya Mpambanaji anaweza kuambania hata yasiyo ya msingi au yale yalomsingi. Lissu kwa muda mrefu kazi yake kubwa ni kuambania hata ujinga tu ilimradi yeye unamfaa. Kuna wakati alipewa nafasi ya kuwa Kiongozi wa ngazi ya Juu wa TLS chama cha Wanasheria Tanzania lakini hakuna alichofanya au kuifanyia taasisi hiyo zaidi akajaribu kukigeuza kuwa chombo cha kiharakati japo hakufanikiwa.
Alishavuliwa uenyekiti wa kanda ya Kati yenye mikoa ya Singida, Morogoro na Dodoma (CHADEMA )baada ya kanda hizo kushindwa kufanya vizuri kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika Mwaka 2014. Mbowe alimvua Lissu mbele ya Wajumbe wengi kwasababu ya kushindwa Uongozi. Mtu aliyeshindwa kuongoza mikoa mitatu yenye wanachama laki moja jumla yake tena kwa ngazi ya Chama kidogo cha siasa siyokweli kama anaweza kuongoza Taifa kumwa lenye watu zaidi ya Milioni 50.
Chuki fitina na visasi. Lissu nimtu wa visasi na chuki. Ndiyo maana anatumia jambo lake binafsi la kuumizwa kama vita ya Watanzania wote. Lazima tufahamu kuwa siyo wote wanapenda tabia hii maana ukweli wa tukio lile yeye ni shahidi namba moja ndiyo maana hadi leo hataki Dereva wake aonekane hadharani.
Mvunjaji mkubwa wa sheria. Lissu ni muumini wa kufanya mambo bora liende tu na siyo mtu makini. Mfano mzuri ni hiki kipindi cha kampeni za uchaguzi. Kaamua kuvinja sheria makusudi tena alizozisaini yeye mwenyewe,hatimaye kawekwa kifungoni kwa siku 7. Kwa mtu makini hawezi kufanya utoto huu kwani angepaswa kujua ukubwa wa Nchi na muda wa kufanya kampeni.
Lissu aendelee kuwa Mwanaharakati na siyo kiongozi.
Hana rekodi yoyote ya Uongozi Bora. Lissu amekuwa mpambanaji kwa muda wote na siyo kiongozi. Sifa ya Mpambanaji anaweza kuambania hata yasiyo ya msingi au yale yalomsingi. Lissu kwa muda mrefu kazi yake kubwa ni kuambania hata ujinga tu ilimradi yeye unamfaa. Kuna wakati alipewa nafasi ya kuwa Kiongozi wa ngazi ya Juu wa TLS chama cha Wanasheria Tanzania lakini hakuna alichofanya au kuifanyia taasisi hiyo zaidi akajaribu kukigeuza kuwa chombo cha kiharakati japo hakufanikiwa.
Alishavuliwa uenyekiti wa kanda ya Kati yenye mikoa ya Singida, Morogoro na Dodoma (CHADEMA )baada ya kanda hizo kushindwa kufanya vizuri kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika Mwaka 2014. Mbowe alimvua Lissu mbele ya Wajumbe wengi kwasababu ya kushindwa Uongozi. Mtu aliyeshindwa kuongoza mikoa mitatu yenye wanachama laki moja jumla yake tena kwa ngazi ya Chama kidogo cha siasa siyokweli kama anaweza kuongoza Taifa kumwa lenye watu zaidi ya Milioni 50.
Chuki fitina na visasi. Lissu nimtu wa visasi na chuki. Ndiyo maana anatumia jambo lake binafsi la kuumizwa kama vita ya Watanzania wote. Lazima tufahamu kuwa siyo wote wanapenda tabia hii maana ukweli wa tukio lile yeye ni shahidi namba moja ndiyo maana hadi leo hataki Dereva wake aonekane hadharani.
Mvunjaji mkubwa wa sheria. Lissu ni muumini wa kufanya mambo bora liende tu na siyo mtu makini. Mfano mzuri ni hiki kipindi cha kampeni za uchaguzi. Kaamua kuvinja sheria makusudi tena alizozisaini yeye mwenyewe,hatimaye kawekwa kifungoni kwa siku 7. Kwa mtu makini hawezi kufanya utoto huu kwani angepaswa kujua ukubwa wa Nchi na muda wa kufanya kampeni.
Lissu aendelee kuwa Mwanaharakati na siyo kiongozi.