Tundu Lissu: Hatujakodisha wala hatujauza bandari bali tumeikabidhi buree

Kingsmann

JF-Expert Member
Oct 4, 2018
4,448
16,313
"Na mkataba huu unasema, 'Na njia za uchukuzi'. Sasa nyie watu wa shinyanga, njia za uchukuzi maana yake nini kama si barabara na reli?"

"Wamesubiri tunakaribia kumaliza ujenzi wa reli ya kisasa, wamesubiri tumepanua bandari, tangu mwaka 2018 serikali ya Tanzania imeingia mkataba na Benki ya Dunia kupanua bandari ya Dar es Salaam. Mkataba umekamilika, sasa bandari imepanuliwa, inaweza ikapokea mzigo mkubwa zaidi, reli ya kisasa imekamilika ibebe mizigo kutoka nchi jirani zote, eti sasa ndiyo tunawabidhi watu wa Dubai, kwa kisingizio sisi hatuwezi kuendesha hivi vitu!!"

"Na tunawabidhi milele, hatujakodisha maana ukikodisha huwa kuna muda maalumu na bei ya pango. Siyo mkataba wa kuuza, kama mkataba wa kuuza tungekuwa na bei ya manunuzi. Hatujakodisha wala hatujauza bali TUMEKABIDHI BUREE"

"Mkataba huu hauna mahali popote ambapo umesema tutapewa pesa kiasi gani, HAKUNA."

"Ndugu zangu huu mkataba ni mkataba mbaya sana, na mimi nawaambieni ndugu zangu haya kwa uchache tuu, HUU MKATABA HAULINGANI NA MKATABA MWINGINE WOWOTE AMBAO SERIKALI YA TANZANIA IMEWAHI KUINGIA NA MAKAMPUNI AU NCHI ZA KIGENI".

 
"Na mkataba huu unasema, 'Na njia za uchukuzi'. Sasa nyie watu wa shinyanga, njia za uchukuzi maana yake nini kama si barabara na reli?"

"Wamesubiri tunakaribia kumaliza ujenzi wa reli ya kisasa, wamesubiri tumepanua bandari, tangu mwaka 2018 serikali ya Tanzania imeingia mkataba na Benki ya Dunia kupanua bandari ya Dar es Salaam. Mkataba umekamilika, sasa bandari imepanuliwa, inaweza ikapokea mzigo mkubwa zaidi, reli ya kisasa imekamilika ibebe mizigo kutoka nchi jirani zote, eti sasa ndiyo tunawabidhi watu wa Dubai, kwa kisingizio sisi hatuwezi kuendesha hivi vitu!!"

"Na tunawabidhi milele, hatujakodisha maana ukikodisha huwa kuna muda maalumu na bei ya pango. Siyo mkataba wa kuuza, kama mkataba wa kuuza tungekuwa na bei ya manunuzi. Hatujakodisha wala hatujauza bali TUMEKABIDHI BUREE"

"Mkataba huu hauna mahali popote ambapo umesema tutapewa pesa kiasi gani, HAKUNA."

"Ndugu zangu huu mkataba ni mkataba mbaya sana, na mimi nawaambieni ndugu zangu haya kwa uchache tuu, HUU MKATABA HAULINGANI NA MKATABA MWINGINE WOWOTE AMBAO SERIKALI YA TANZANIA IMEWAHI KUINGIA NA MAKAMPUNI AU NCHI ZA KIGENI".

View attachment 2729375
Wala hakuna ubia
 
Waliofanya hivi wametungiwa sheria eti ya kutoshtakiwa kwa makosa yoyote.

Ila mwizi wa Kuku anafungwa maisha ila huyo aliyetuletea hasara hii yote anaendelea kuwa uraiani huku akiendelea kulindwa hadi kufa kwake
 
Waliofanya hivi wametungiwa sheria eti ya kutoshtakiwa kwa makosa yoyote.

Ila mwizi wa Kuku anafungwa maisha ila huyo aliyetuletea hasara hii yote anaendelea kuwa uraiani huku akiendelea kulindwa hadi kufa kwake
Na idadi ya wasioshitakiwa ikaongezwa.....Makamu wa Rais, Spika, Waziri Mkuu na Jaji mkuu.

Kwa hiyo wako huru kufanya lolote.


Sisi tutamshtakiwa Mwenyezi Mungu
 
Na idadi ya wasioshitakiwa ikaongezwa.....Makamu wa Rais, Spika, Waziri Mkuu na Jaji mkuu.

Kwa hiyo wako huru kufanya lolote.


Sisi tutamshtakiwa Mwenyezi Mungu
Ndiyo maana wanafanya mambo ya hovyo wakijua wana kinga ya kutoshtakiwa

Yaani tuna katiba ya hovyo sana Nchi hii, kama Rais wa Marekani anashtakiwa akifanya mambo ya hovyo ila wa Tanzania amebaki kuwa malaika kwa kutoshtakiwa 🙌
 
Huu mkataba umetuzalilisha c tu sisi wananchi bali hata elimu yetu. Karne ya sasa unaingia mikataba ya hovyo namna hii. Yani si tuu kwamba alimaanisha kua sisi tumeshindwa kuziendesha bandali bali pia hatututakuja tuweze kuziendesha.
 
Jibu swali acha unyumbu,unadhani kila mtu mfuasi wa chama..mwanzo walisema bandari zimeuzwa zote,Leo wanasema zimegawiww Bure, tushike lipi!?
Ni uongo ?!.
Mpaka sasa tumepata/kupewa kitu gani ?!.

We mhaya unakijua kiswahili kweli ?. Unatuaibisha . Mhaya hawezi kuwa hajielewi ka wewe !!

Na sijui mnashabikia kitu gani.
Madini yameenda yote.
Gas & mafuta nayo yameenda.
Mbugani ndiyo hivyo masai wanafurushwa kama wanyama waharibifu. Bandari nayo sasa imetuchosha kuibeba .

Uvccm, shuleni mlienda kujifunza ili iweJe ?!. Kama majukumu tu ya kuongoza nchi ,lazima msaidiwe !!
 
"Na mkataba huu unasema, 'Na njia za uchukuzi'. Sasa nyie watu wa shinyanga, njia za uchukuzi maana yake nini kama si barabara na reli?"

"Wamesubiri tunakaribia kumaliza ujenzi wa reli ya kisasa, wamesubiri tumepanua bandari, tangu mwaka 2018 serikali ya Tanzania imeingia mkataba na Benki ya Dunia kupanua bandari ya Dar es Salaam. Mkataba umekamilika, sasa bandari imepanuliwa, inaweza ikapokea mzigo mkubwa zaidi, reli ya kisasa imekamilika ibebe mizigo kutoka nchi jirani zote, eti sasa ndiyo tunawabidhi watu wa Dubai, kwa kisingizio sisi hatuwezi kuendesha hivi vitu!!"

"Na tunawabidhi milele, hatujakodisha maana ukikodisha huwa kuna muda maalumu na bei ya pango. Siyo mkataba wa kuuza, kama mkataba wa kuuza tungekuwa na bei ya manunuzi. Hatujakodisha wala hatujauza bali TUMEKABIDHI BUREE"

"Mkataba huu hauna mahali popote ambapo umesema tutapewa pesa kiasi gani, HAKUNA."

"Ndugu zangu huu mkataba ni mkataba mbaya sana, na mimi nawaambieni ndugu zangu haya kwa uchache tuu, HUU MKATABA HAULINGANI NA MKATABA MWINGINE WOWOTE AMBAO SERIKALI YA TANZANIA IMEWAHI KUINGIA NA MAKAMPUNI AU NCHI ZA KIGENI".

View attachment 2729375
Lissu ni Shujaa !!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom