nkongu ndasu
JF-Expert Member
- Jan 19, 2013
- 22,532
- 6,613
Tundu lisu hana akili kichwani. Jinga kabisa mwanasheria dhaifu sana
haa haa muulize mwanasheria mkuu wa serikali. akimsikia lisu kigugumizi kinamshika ghafla.
Tundu lisu hana akili kichwani. Jinga kabisa mwanasheria dhaifu sana
Umesema kweli huyu alimtukana baba wa taifa.
Tundu lisu hana akili kichwani. Jinga kabisa mwanasheria dhaifu sana
Kama wewe ulivyoonesha kuwa wewe ni bavicha au bawacha maana bawacha na bavicha kazi yao ni kupiga kelele na kulalamika.yaani umethibitisha kabisa wewe ni mwanachama wa ccm,kwa kawaida huwa hakuna mwenye hoja,huwa wanaropokaga tu na kushangiliana.
Wewe usiyeropoka tueleze! Kuna nini cha UWONGO katika mada hiyo ambacho hakiwezi kuthibitishwa leo hii? Tumia vizuri akili yako na siyo kuleta Mihemuko. Mpuuzi usiyejitambua wewe.Tatizo Tundulisu anaropoka huwa , hafikrii kabla ya kusema....
1. Yaani kuwepo Musoma tu imetosha kujua mikakati ya kambi hiyo???!
2. Uliuliza wangapi kati ya waliokuwepo??!!
3. Majibu yao uliyapimaje kupata validity na reliability??!!
4. Mtu anayependwa unawezaje ku establish sababu za mapenzi hayo??!!
Hebu fafanua mkuu yaweza kuwa una hoja
Ningeshangaa sana kama angeikubali Safari hiyo ya Matumaini. Nimebahatika kuwa Musoma wakati amekuja na safari yake ya matumaini ki ukweli tuwe wa kweli Lowassa ametokea kupendwa na wananchi nimeamini habari kuwa anagawa pesa watu wajitokeze ni Uongo wa mchana.
Ningeshangaa sana kama angeikubali Safari hiyo ya Matumaini. Nimebahatika kuwa Musoma wakati amekuja na safari yake ya matumaini ki ukweli tuwe wa kweli Lowassa ametokea kupendwa na wananchi nimeamini habari kuwa anagawa pesa watu wajitokeze ni Uongo wa mchana.
Tulieni dawa iwaingie vizuri, achene kurukaruka nyie magamba:becky:Tundu lisu hana akili kichwani. Jinga kabisa mwanasheria dhaifu sana
Ningeshangaa sana kama angeikubali Safari hiyo ya Matumaini. Nimebahatika kuwa Musoma wakati amekuja na safari yake ya matumaini ki ukweli tuwe wa kweli Lowassa ametokea kupendwa na wananchi nimeamini habari kuwa anagawa pesa watu wajitokeze ni Uongo wa mchana.
Tundu lisu hana akili kichwani. Jinga kabisa mwanasheria dhaifu sana
Wafuasi wao hawaoni hilo. . . . . Hawahoji lolote. . . . Na ukihoji utatukanwa. . . . .
Huyu jamaa atakuwa alikuwa ametokea kwenye ile hospital yake ya hapo dodoma ndiyo maana anazungumza ubwabwa tu porojo nyingi kichwani kavurugwa.
MWANASIASA Machachari na Mnadhimu Mkuu wa Kambi ya Upinzani bungeni,Tundu Lissu, ameponda Safari ya Matumaini ya aliyekuwa Waziri Mkuu wa Serikali ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Edward Lowassa, akidai si ya Matumaini, ni ya Matumizi.
Lissu alisema hayo jana katika Mkutano wa Hadhara alioufanya mkoani Dodoma katika Viwanja vya Barafu, ambapo pia alidai Watawala hao hawana uwezo tena wa kutawala kama kwanza.
Akiainisha Ishara za Watawala kushindwa kuongoza mbele ya Umati wa Wakazi wa Dodoma, Lissu alisema kuwa ni pamoja na Migogoro na Migomo kila Kona, ambapo Wafanyabiashara, Madereva, Wanavyuo, Walimu, Wakulima na Wauguzi na Madaktari, safari hii waliiasi Serikali ya CCM.
Lissu ambaye alikuwa akihamasisha kujiandikisha katika Daftari la Kuduma la Kura, aliwakumbusha Wananchi akisema, mmewasikia wasaka Urais wa CCM wanaotoka Chama kimoja wanavyotofautiana kwa Kauli Mbiu, kila mmoja ana yake! Mkiona hayo, Ukombozi umefika.
Lowassa amesema, ana Safari ya Matumaini; Safari hiyo si safari ya Matumaini ila ni Safari ya Matumizi, Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Mchemba, amesema, tutavushwa Ngambo, wengine acheni jamani Watu wanasema, Ukimwamsha aliyelala Utalala Mwenyewe.alisema Lissu na wananchi wakshaangilia na kucheka.
Lissu alijinasifu akisema, Dhambi kubwa kuliko zote ambayo Watawala wa nchi hii wamewafanyia Watanzania, ni kuifanya nchi yetu kuwa Nchi ya watu Ombaomba, na ndiyo maana nimemsikia Mgombea Urais wa CCM, Makongoro Nyerere, akijinadi tusiwape nchi hii Vibaka.
Alisema, Rais Jakaya Kikwete, anaomba, Mawaziri wake wanaomba, Makatibu Wakuu na Wakurugenzi Wanaomba, Wakuu wa Mikoa wanaomba, Wakuu wa Wilaya wanaomba, na Polisi nao wanaomba!! Jambo hili ni aibu kwa Taifa.
Lissu alidai; Taifa hili limechafuka sana kwa Uovu ukiwemo, Wizi, Rushwa, Ufisadi na Mauaji ya Kutisha yanayomwaga Damu za Watanzania, hivyo linatakiwa kusafishwa na njia pekee ni kujiandisha kwenye daftari la kudumu la wapiga Kura, ili 25/10/2015, mtumie haki yenu.
Hata hivyo, Lissu alijigamba kwamba, Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), wamejipanga vizuri kuchukua Dola, na ndiyo maana walitoka nje wakipinga Katiba na inayopendekezwa na kura ya maoni, kwamba isingewezekana Aprili 30, sasa nani Mkweli?.alihoji.
Posted by Chadema Blogtz