G Sam
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 11,555
- 35,884
Shinyanga imetuma ujumbe kwa wale wanaosema "Kazi za JPM zinaonekana" aka wazee wa Zahanati 500
Shinyanga hatukuwahi kufanya mikutano kama ambavyo mshua alikuwa amepageuza njia ya kwenda na kutokea Chato daily.
Tumepata wadhamini 500 sawa na idadi ya zile zahanati hewa. Teh teh teh zahanati 500!
Tupo njiani kwenda Mwanza na Mara. Mwanza inasimama leo na tukitoka huko tunaenda chato!
Shinyanga hatukuwahi kufanya mikutano kama ambavyo mshua alikuwa amepageuza njia ya kwenda na kutokea Chato daily.
Tumepata wadhamini 500 sawa na idadi ya zile zahanati hewa. Teh teh teh zahanati 500!
Tupo njiani kwenda Mwanza na Mara. Mwanza inasimama leo na tukitoka huko tunaenda chato!