Sharif
JF-Expert Member
- Mar 13, 2011
- 2,450
- 1,777
sikuwahi kuwaza kwamba Lissu anapendwa kiasi hiki tena hadi mbinguni..
mtu anapigwa tu risasi moja tunamzika, Lissu ni wa miujiza ya Mungu, kaonesha miujiza ya manabii waliotupwa kwenye moto wasife.
Kazi ya Lissu kuwatetea wanyonge haijakamilika, ni hadi pale mashoga na walaji wake za watu makubwa ya udhalimu yatakapodondoka.
mtu anapigwa tu risasi moja tunamzika, Lissu ni wa miujiza ya Mungu, kaonesha miujiza ya manabii waliotupwa kwenye moto wasife.
Kazi ya Lissu kuwatetea wanyonge haijakamilika, ni hadi pale mashoga na walaji wake za watu makubwa ya udhalimu yatakapodondoka.