Mikoa Haina power Jimbo Lina Sovereign,lazima Spirit of Nationalism iwepoKwani kuna jimbo litakuwa na Kabila moja? Kama ni hivyo kwanini mikoa haijawa na ukabila?
Ni kanda gani Tanzania haina utajiri wa asili (rasilimali)? Maamuzi yanayotoka Dar ambao wafanya maamuzi wengi hutokea hizo kanda ulizozitaja wewe ndo HUDIDIMIZA kanda zingine mpaka zinaonekana masikini.Sera ya majimbo inachochea majimbo yenye utajiri kutaka kujitenga na kuwa nchi kamili. Jimbo la kwanza kujitenga litakuwa Jimbo la kaskazini then Kanda ya ziwa. Iko mifano mingi tu Africa na dunia kwa ujumla.