Tundu Lissu aelewe Kuchangiana ni Utamaduni wa Watanzania, hata Mbowe alilikabidhi KKKT Machame Mchango wa Tsh. Milioni 150 kutoka kwa Rais Samia

Kwa hiyo Tundu Lisu aliyelipiwa Chopa na Mbunge wa CCM ni malaya?

Au Mbowe anayezunguka Makanisani akiwa na Halima Mdee na Esther Bulaya ni Malaya?

Siasa Siyo Uadui tutusa wahed
Ewe Mgalatia jaribu kupunguza ufara.Magufuri kaua sana wapinzani na kuwafunga paspo na kesi na hata chaguzi za 2019 na 2020 kavuruga kisa hata wapinzani,sijui hizo bangi unazovuta zinatokaga wapi.
 
Ewe Mgalatia jaribu kupunguza ufara.Magufuri kaua sana wapinzani na kuwafunga paspo na kesi na hata chaguzi za 2019 na 2020 kavuruga kisa hata wapinzani,sijui hizo bangi unazovuta zinatokaga wapi.
Wewe una hasira na Magufuli kuliko Tundu Antipas Lisu?

Lakini mwenzako alienda kaburini kuweka mauwa 😂🔥

Sasa huyu Nchimbi Ndio hatakagi upumbafu Kabisa 2025 hata huyo Aida Kenani harejei Bungeni mtakuwa kama TLP Chama Cha Wanywa Mbege

Siasa ni Sayansi siyo Makasiriko 🐼
 
Wewe una hasira na Magufuli kuliko Tundu Antipas Lisu?

Lakini mwenzako alienda kaburini kuweka mauwa 😂🔥

Sasa huyu Nchimbi Ndio hatakagi upumbafu Kabisa 2025 hata huyo Aida Kenani harejei Bungeni mtakuwa kama TLP Chama Cha Wanywa Mbege

Siasa ni Sayansi siyo Makasiriko 🐼
UWT mmejipangaje?
 
Back
Top Bottom