"Nimeupokea kwa furaha sana uwamuzi wa James Ole Millya kuhamia chadema na pia ninapenda kuwakaribisha wanaccm walio wasafi ndani ya chama chao wajiunge na chadema watuongezee nguvu ya kuharakisha mabadiliko" Mbowe anena
Tamko hili la Mbowe limenisikitisha sana. Maana yake mtu yeyote bila kujali historia na rekodi yake akitoka CCM akajiunga CHADEMA basi uchafu wake wote unakuwa umekosheka? Sad. Mfadhili wa Millya si anajulikana? Inawezekana Milllya ni Yohana Mbatizaji amekuja CHADEMA kumuandalia Yesu njia. Basi kama Mbowe anataka kufanya 'harakiri' au 'suicide' ya CHADEMA ni kuwakaribisha Magamba ndani ya Chama bila tafakuri ya kutosha. Wapiga kura, hasa vijana, hawatakosa kuuuona unafiki huo. Na hapo ndipo imani na CHADEMA itaporomoka. Mbowe na CHADEMA wasipumbazwe na kubomoka kwa CCM wakasahau misingi na maadili ya Chama, kama ni siyo vigeugegu."Nimeupokea kwa furaha sana uwamuzi wa James Ole Millya kuhamia chadema na pia ninapenda kuwakaribisha wanaccm walio wasafi ndani ya chama chao wajiunge na chadema watuongezee nguvu ya kuharakisha mabadiliko" Mbowe anena
sikuja kuwaita watu wema bali wenye dhambi ili wapate kutubu...hahahaa..waache ata hao wachafu waje bana tutawasafisha etii..Tamko hili la Mbowe limenisikitisha sana. Maana yake mtu yeyote bila kujali historia na rekodi yake akitoka CCM akajiunga CHADEMA basi uchafu wake wote unakuwa umekosheka? Sad. Mfadhili wa Millya si anajulikana? Inawezekana Milllya ni Yohana Mbatizaji amekuja CHADEMA kumuandalia Yesu njia. Basi kama Mbowe anataka kufanya 'harakiri' au 'suicide' ya CHADEMA ni kuwakaribisha Magamba ndani ya Chama bila tafakuri ya kutosha. Wapiga kura, hasa vijana, hawatakosa kuuuona unafiki huo. Na hapo ndipo imani na CHADEMA itaporomoka. Mbowe na CHADEMA wasipumbazwe na kubomoka kwa CCM wakasahau misingi na maadili ya Chama, kama ni siyo vigeugegu.