KaribuAhsante kwa taarifa...
Ngoja Aje Chap Akupe Bei Elekezi, Na Bei KikomoMbuzi wa kawaida wa nyama unauzaje kiongozi?
Bei elekezi ni 120,000 mpaka 200,000/ inategemeana na ukubwa mkuu. KaribuMbuzi wa kawaida wa nyama unauzaje kiongozi?
Imeshatolewa na mabadiliko yake huenda yatakuwaNgoja Aje Chap Akupe Bei Elekezi, Na Bei Kikomo
Kama EWURA Tu
Tshs 120,000 mpaka 220,000/Ngoja Aje Chap Akupe Bei Elekezi, Na Bei Kikomo
Kama EWURA Tu
Vile vile kula nyama mbichi ndio chanzo kikubwa cha gout yaani nyama ambayo haijaiva vizuri na wakati hapo hapo unapiga kinywaji inatengeneza hii uric acid ya kufaa mtu. Jiulize tu hakuna watu wanakula nyama kama wamasai na hasa mbuzi ila hawan hili tatizo kwa wingi nenda kaangalie jinsi wavyochoma zao wanachukua muda hata wa masaa manne mpaka matano tena kwa moto wa polepole. Njoo uswahilini kwetu nyama inachomwa dakika ishirini yaani inababuliwa.
MAWASILIANO PLEASE, NATAKA DUME MMOJAAhsante nimeshakujibu inbox, ila kwa kuwa mbuzi wako kwenye level tofauti na bei nazo zinarange katika group tofauti
KARIBU MKUUMAWASILIANO PLEASE, NATAKA DUME MMOJA
Bei zenu sio mbaya, mnatoa usafiri pia?Mbuzi wazuri kwa ajili ya nyama na kufuga wanapatikana kwa bei ya Tshs 130,000/ mpaka 200,000/ Kutegemeana na ukubwa tupigie 0713-318771.
jike na beberu jumla sh ngapKARIBU, Tunauza Mbuzi na Kondoo kwa bei nafuu kwa ajili ya nyama na kufuga tunazo aina za mabeberu wenye uwezo wa kuzalisha Mapacha. Tuko Dar tupige au whatapp no 0713318671.
Furahia Maisha.
View attachment 2441224
View attachment 2440702View attachment 2440703View attachment 2440704View attachment 2440705View attachment 2441255View attachment 2441258View attachment 2441259
Usafiri unapatikana kwa wewe kuulipia ila katika biashara ambayo unatakiwa kumuona mnyama ni hii hapa ndio unamchukua inapendeza zaidi hvyoBei zenu sio mbaya, mnatoa usafiri pia?