Tunatamani kubinafsisha kila kitu, sababu ya wizi wetu! Nia ya kuondoa wizi haipo! Report ya CAG mamlaka zote Kimyaaaa!

Weakman

JF-Expert Member
Jul 23, 2021
861
1,384
Wapumbavu wanaotetea ubinafsishaji (ashakum si matusi) Wana hoja kadhaa!
Ila moja iliyo strong kwao ni wizi wa fedha za umma kwa watendaji wa Taasisi!

Huu Ni upumbavu!
Kwa nini utoe rasilimali zako kunufaisha jirani kisa mwanao ni mwizi?

Wapumbavu Hawa wanasahau Serikali inazo mamlaka mbalimbali zilizowekwa ili kudhibiti huo wizi ili kuleta tija ya maendeleo ya uchumi!

Yapo majeshi ya kila Aina, mahakama zipo, magereza zipo, sheria zipo, wakaguzi wapo!
Hivi kwa mazingira haya mwizi anachomokaje?

Wapumbavu wanamlaumu fisadi badala ya kulaumu majeshi yetu, kulaumu wakaguzi wetu, kulaumu bunge letu, kulaumu Amiri Jeshi Mkuu na wasaidizi wake!

Kamwe, Hakutakuwa na sababu Wala hoja itakayojustify ubinafsishaji wa Rasilimali zetu! Never!
Anayesema anabinafsisha Rasilimali ya Taifa letu kwa sababu watendaji Ni wezi, aanze kwanza kuvunja mamlaka zote za ulinzi na usalama, na wasimamizi wote wa Mali za Raia!
Akihisi kuzivunja ni Jambo gumu, Basi azibinafsishe mamlaka hizo!

Nia ya kulinda Mali zetu Ni finyu Sana kwa viongozi wetu, na majeshi yetu!
Fikiria CAG katoa report ya upotevu wa fedha, lakini maafisa wanaohusika wote wanaendelea kula Bata!
Hakuna jambajamba Wala msukosuko!
Hakuna Jeshi limetoa hata onyo la maneno!
Bunge halina mpango wowote!
Mamlaka zipo kimyaaaaaa!

Wizi unaendelea, halafu hao hao waliopaswa kuukomesha wanasimama na kuuza Rasilimali zetu kwa hoja kwamba Watendaji Ni wezi,
Je, Ina maana hawajui kuwa, tumewapa dhamana ya uongozi kusimamia majukumu ya serikali ikiwemo kudhibiti huo wizi ili tunufaike na Rasilimali zetu?

Munaotetea ubinafsishaji kwa hoja ya wizi, natoa amri "Fungeni midomo yenu!"

Narudia Tena, munaotetea kunufaisha wageni kwa rasilimali zetu, Nyamazeni!

Haiwezekani tuendeleze upumbavu! Akili zetu zitafakari kujikomboa Kama Taifa!

Munaotetea ubinafsishaji kwamba Watendaji wezi, ni ninyi pia munatetea wezi wasiadhibiwe!
Akitokea Rais mkali akiwapa misukosuko, munasema anawaonea,
Wakiachwa munasema Rasilimali zibinafsishwe kwa kuwa Ni wezi!

Rasilimali zetu tuziendeshe wenyewe!
Wizi utokomezwe!
Technolojia ipasayo iwekezwe na Serikali

Iweje baba unashindwa kuhudumia familia kwa sababu ya ulevi, Kisha uone kuwa Suluhu Ni kumuomba mwanaume mwingine amlee mkeo na watoto wako,?
Suluhisho Ni kuacha pombe!

Tuendelee kuilinda Nchi yetu kwa manufaa ya vizazi vyetu!
 
Viongozi wa juu wanakemea watu wa chini kuiba ili ziwafikie salama huko juu wazile zikiwa nyingi.Watu weusi ni kama mchwa hawafadhiliki mbwa sisi.CAG report inaonesha mi hela mingi inaliwa na hao viongozi wetu na imefanya kuonesha kuwa SIASA ni biashara inayolipa kuliko biashara zingine hapa Africa ndo maana kila kukicha wanaunganishana kizazi na kizazi ili wafie kwenye mihela.Mkeka wa U DAS juzi umejieleza.
 
Wapumbavu wanaotetea ubinafsishaji (ashakum si matusi) Wana hoja kadhaa!
Ila moja iliyo strong kwao ni wizi wa fedha za umma kwa watendaji wa Taasisi!
mwenyewe umejipa jina la weakman, kwa hivyo endelea kubwabwaja tu
 
018100094042.JPG
 
Pasipo MAONO taifa huangamia, kiongozi kipofu hawezi ongoza kipofu mwenzake wote watatumbukia shimoni.
 
Wapumbavu wanaotetea ubinafsishaji (ashakum si matusi) Wana hoja kadhaa!
Ila moja iliyo strong kwao ni wizi wa fedha za umma kwa watendaji wa Taasisi!

Huu Ni upumbavu!
Kwa nini utoe rasilimali zako kunufaisha jirani kisa mwanao ni mwizi?

Wapumbavu Hawa wanasahau Serikali inazo mamlaka mbalimbali zilizowekwa ili kudhibiti huo wizi ili kuleta tija ya maendeleo ya uchumi!

Yapo majeshi ya kila Aina, mahakama zipo, magereza zipo, sheria zipo, wakaguzi wapo!
Hivi kwa mazingira haya mwizi anachomokaje?

Wapumbavu wanamlaumu fisadi badala ya kulaumu majeshi yetu, kulaumu wakaguzi wetu, kulaumu bunge letu, kulaumu Amiri Jeshi Mkuu na wasaidizi wake!

Kamwe, Hakutakuwa na sababu Wala hoja itakayojustify ubinafsishaji wa Rasilimali zetu! Never!
Anayesema anabinafsisha Rasilimali ya Taifa letu kwa sababu watendaji Ni wezi, aanze kwanza kuvunja mamlaka zote za ulinzi na usalama, na wasimamizi wote wa Mali za Raia!
Akihisi kuzivunja ni Jambo gumu, Basi azibinafsishe mamlaka hizo!

Nia ya kulinda Mali zetu Ni finyu Sana kwa viongozi wetu, na majeshi yetu!
Fikiria CAG katoa report ya upotevu wa fedha, lakini maafisa wanaohusika wote wanaendelea kula Bata!
Hakuna jambajamba Wala msukosuko!
Hakuna Jeshi limetoa hata onyo la maneno!
Bunge halina mpango wowote!
Mamlaka zipo kimyaaaaaa!

Wizi unaendelea, halafu hao hao waliopaswa kuukomesha wanasimama na kuuza Rasilimali zetu kwa hoja kwamba Watendaji Ni wezi,
Je, Ina maana hawajui kuwa, tumewapa dhamana ya uongozi kusimamia majukumu ya serikali ikiwemo kudhibiti huo wizi ili tunufaike na Rasilimali zetu?

Munaotetea ubinafsishaji kwa hoja ya wizi, natoa amri "Fungeni midomo yenu!"

Narudia Tena, munaotetea kunufaisha wageni kwa rasilimali zetu, Nyamazeni!

Haiwezekani tuendeleze upumbavu! Akili zetu zitafakari kujikomboa Kama Taifa!

Munaotetea ubinafsishaji kwamba Watendaji wezi, ni ninyi pia munatetea wezi wasiadhibiwe!
Akitokea Rais mkali akiwapa misukosuko, munasema anawaonea,
Wakiachwa munasema Rasilimali zibinafsishwe kwa kuwa Ni wezi!

Rasilimali zetu tuziendeshe wenyewe!
Wizi utokomezwe!
Technolojia ipasayo iwekezwe na Serikali

Iweje baba unashindwa kuhudumia familia kwa sababu ya ulevi, Kisha uone kuwa Suluhu Ni kumuomba mwanaume mwingine amlee mkeo na watoto wako,?
Suluhisho Ni kuacha pombe!

Tuendelee kuilinda Nchi yetu kwa manufaa ya vizazi vyetu!
Kwa hali tuliyofikia, unashauri tufanye nini mkuu sisi kama raia wa kawaida tusio na madaraka yeyote?
 
Wapumbavu wanaotetea ubinafsishaji (ashakum si matusi) Wana hoja kadhaa!
Ila moja iliyo strong kwao ni wizi wa fedha za umma kwa watendaji wa Taasisi!

Huu Ni upumbavu!
Kwa nini utoe rasilimali zako kunufaisha jirani kisa mwanao ni mwizi?

Wapumbavu Hawa wanasahau Serikali inazo mamlaka mbalimbali zilizowekwa ili kudhibiti huo wizi ili kuleta tija ya maendeleo ya uchumi!

Yapo majeshi ya kila Aina, mahakama zipo, magereza zipo, sheria zipo, wakaguzi wapo!
Hivi kwa mazingira haya mwizi anachomokaje?

Wapumbavu wanamlaumu fisadi badala ya kulaumu majeshi yetu, kulaumu wakaguzi wetu, kulaumu bunge letu, kulaumu Amiri Jeshi Mkuu na wasaidizi wake!

Kamwe, Hakutakuwa na sababu Wala hoja itakayojustify ubinafsishaji wa Rasilimali zetu! Never!
Anayesema anabinafsisha Rasilimali ya Taifa letu kwa sababu watendaji Ni wezi, aanze kwanza kuvunja mamlaka zote za ulinzi na usalama, na wasimamizi wote wa Mali za Raia!
Akihisi kuzivunja ni Jambo gumu, Basi azibinafsishe mamlaka hizo!

Nia ya kulinda Mali zetu Ni finyu Sana kwa viongozi wetu, na majeshi yetu!
Fikiria CAG katoa report ya upotevu wa fedha, lakini maafisa wanaohusika wote wanaendelea kula Bata!
Hakuna jambajamba Wala msukosuko!
Hakuna Jeshi limetoa hata onyo la maneno!
Bunge halina mpango wowote!
Mamlaka zipo kimyaaaaaa!

Wizi unaendelea, halafu hao hao waliopaswa kuukomesha wanasimama na kuuza Rasilimali zetu kwa hoja kwamba Watendaji Ni wezi,
Je, Ina maana hawajui kuwa, tumewapa dhamana ya uongozi kusimamia majukumu ya serikali ikiwemo kudhibiti huo wizi ili tunufaike na Rasilimali zetu?

Munaotetea ubinafsishaji kwa hoja ya wizi, natoa amri "Fungeni midomo yenu!"

Narudia Tena, munaotetea kunufaisha wageni kwa rasilimali zetu, Nyamazeni!

Haiwezekani tuendeleze upumbavu! Akili zetu zitafakari kujikomboa Kama Taifa!

Munaotetea ubinafsishaji kwamba Watendaji wezi, ni ninyi pia munatetea wezi wasiadhibiwe!
Akitokea Rais mkali akiwapa misukosuko, munasema anawaonea,
Wakiachwa munasema Rasilimali zibinafsishwe kwa kuwa Ni wezi!

Rasilimali zetu tuziendeshe wenyewe!
Wizi utokomezwe!
Technolojia ipasayo iwekezwe na Serikali

Iweje baba unashindwa kuhudumia familia kwa sababu ya ulevi, Kisha uone kuwa Suluhu Ni kumuomba mwanaume mwingine amlee mkeo na watoto wako,?
Suluhisho Ni kuacha pombe!

Tuendelee kuilinda Nchi yetu kwa manufaa ya vizazi vyetu!
nashauri hata ATCL, shirika la reli, TTCL yabinafsishwe wizi umezidi
 
Viongozi wa juu wanakemea watu wa chini kuiba ili ziwafikie salama huko juu wazile zikiwa nyingi.Watu weusi ni kama mchwa hawafadhiliki mbwa sisi.CAG report inaonesha mi hela mingi inaliwa na hao viongozi wetu na imefanya kuonesha kuwa SIASA ni biashara inayolipa kuliko biashara zingine hapa Africa ndo maana kila kukicha wanaunganishana kizazi na kizazi ili wafie kwenye mihela.Mkeka wa U DAS juzi umejieleza.
Tufanye nini mkuu ili kuweza kunusuru kizazi kijacho? maana kwa kuzungumza tu kwenye mitandao naona haisaidii chochote.
 
Wapumbavu wanaotetea ubinafsishaji (ashakum si matusi) Wana hoja kadhaa!
Ila moja iliyo strong kwao ni wizi wa fedha za umma kwa watendaji wa Taasisi!

Huu Ni upumbavu!
Kwa nini utoe rasilimali zako kunufaisha jirani kisa mwanao ni mwizi?

Wapumbavu Hawa wanasahau Serikali inazo mamlaka mbalimbali zilizowekwa ili kudhibiti huo wizi ili kuleta tija ya maendeleo ya uchumi!

Yapo majeshi ya kila Aina, mahakama zipo, magereza zipo, sheria zipo, wakaguzi wapo!
Hivi kwa mazingira haya mwizi anachomokaje?

Wapumbavu wanamlaumu fisadi badala ya kulaumu majeshi yetu, kulaumu wakaguzi wetu, kulaumu bunge letu, kulaumu Amiri Jeshi Mkuu na wasaidizi wake!

Kamwe, Hakutakuwa na sababu Wala hoja itakayojustify ubinafsishaji wa Rasilimali zetu! Never!
Anayesema anabinafsisha Rasilimali ya Taifa letu kwa sababu watendaji Ni wezi, aanze kwanza kuvunja mamlaka zote za ulinzi na usalama, na wasimamizi wote wa Mali za Raia!
Akihisi kuzivunja ni Jambo gumu, Basi azibinafsishe mamlaka hizo!

Nia ya kulinda Mali zetu Ni finyu Sana kwa viongozi wetu, na majeshi yetu!
Fikiria CAG katoa report ya upotevu wa fedha, lakini maafisa wanaohusika wote wanaendelea kula Bata!
Hakuna jambajamba Wala msukosuko!
Hakuna Jeshi limetoa hata onyo la maneno!
Bunge halina mpango wowote!
Mamlaka zipo kimyaaaaaa!

Wizi unaendelea, halafu hao hao waliopaswa kuukomesha wanasimama na kuuza Rasilimali zetu kwa hoja kwamba Watendaji Ni wezi,
Je, Ina maana hawajui kuwa, tumewapa dhamana ya uongozi kusimamia majukumu ya serikali ikiwemo kudhibiti huo wizi ili tunufaike na Rasilimali zetu?

Munaotetea ubinafsishaji kwa hoja ya wizi, natoa amri "Fungeni midomo yenu!"

Narudia Tena, munaotetea kunufaisha wageni kwa rasilimali zetu, Nyamazeni!

Haiwezekani tuendeleze upumbavu! Akili zetu zitafakari kujikomboa Kama Taifa!

Munaotetea ubinafsishaji kwamba Watendaji wezi, ni ninyi pia munatetea wezi wasiadhibiwe!
Akitokea Rais mkali akiwapa misukosuko, munasema anawaonea,
Wakiachwa munasema Rasilimali zibinafsishwe kwa kuwa Ni wezi!

Rasilimali zetu tuziendeshe wenyewe!
Wizi utokomezwe!
Technolojia ipasayo iwekezwe na Serikali

Iweje baba unashindwa kuhudumia familia kwa sababu ya ulevi, Kisha uone kuwa Suluhu Ni kumuomba mwanaume mwingine amlee mkeo na watoto wako,?
Suluhisho Ni kuacha pombe!

Tuendelee kuilinda Nchi yetu kwa manufaa ya vizazi vyetu!
Hata mimi naona hii hoja inaweza kuwa haina mashiko sana! Badala ya kutibu symptoms tungepambana kutibu ugonjwa!

Kusema ukweli, kiwango cha uzalendo kwa watanzania ni kidogo sana! Bado hatuipenda, kuijali na kuithamini nchi yetu! Wengi tumekuwa wabinafsi mno, wenye kujipenda wenyewe tusiojali wala kuthamini wengine.

Kama uzalendo unafundishwa, ni heri tukawekeza katika kufundisha watu wetu uzalendo toka ngazi za shule za msingi! Tupate viongozi shupavu wenye kukemea uovu kwa vitendo badala ya kubinafsisha mali za taifa na kuwafaidisha/kuwatajirisha wengine!

Ni mambo ya aibu sana kwamba tymeshindwa kabisa kusimamia rasilimali za taifa mpaka tusimamiwe na wageni!!!! Sisi bado ni watumwa!
 
Wapumbavu wanaotetea ubinafsishaji (ashakum si matusi) Wana hoja kadhaa!
Ila moja iliyo strong kwao ni wizi wa fedha za umma kwa watendaji wa Taasisi!

Huu Ni upumbavu!
Kwa nini utoe rasilimali zako kunufaisha jirani kisa mwanao ni mwizi?

Wapumbavu Hawa wanasahau Serikali inazo mamlaka mbalimbali zilizowekwa ili kudhibiti huo wizi ili kuleta tija ya maendeleo ya uchumi!

Yapo majeshi ya kila Aina, mahakama zipo, magereza zipo, sheria zipo, wakaguzi wapo!
Hivi kwa mazingira haya mwizi anachomokaje?

Wapumbavu wanamlaumu fisadi badala ya kulaumu majeshi yetu, kulaumu wakaguzi wetu, kulaumu bunge letu, kulaumu Amiri Jeshi Mkuu na wasaidizi wake!

Kamwe, Hakutakuwa na sababu Wala hoja itakayojustify ubinafsishaji wa Rasilimali zetu! Never!
Anayesema anabinafsisha Rasilimali ya Taifa letu kwa sababu watendaji Ni wezi, aanze kwanza kuvunja mamlaka zote za ulinzi na usalama, na wasimamizi wote wa Mali za Raia!
Akihisi kuzivunja ni Jambo gumu, Basi azibinafsishe mamlaka hizo!

Nia ya kulinda Mali zetu Ni finyu Sana kwa viongozi wetu, na majeshi yetu!
Fikiria CAG katoa report ya upotevu wa fedha, lakini maafisa wanaohusika wote wanaendelea kula Bata!
Hakuna jambajamba Wala msukosuko!
Hakuna Jeshi limetoa hata onyo la maneno!
Bunge halina mpango wowote!
Mamlaka zipo kimyaaaaaa!

Wizi unaendelea, halafu hao hao waliopaswa kuukomesha wanasimama na kuuza Rasilimali zetu kwa hoja kwamba Watendaji Ni wezi,
Je, Ina maana hawajui kuwa, tumewapa dhamana ya uongozi kusimamia majukumu ya serikali ikiwemo kudhibiti huo wizi ili tunufaike na Rasilimali zetu?

Munaotetea ubinafsishaji kwa hoja ya wizi, natoa amri "Fungeni midomo yenu!"

Narudia Tena, munaotetea kunufaisha wageni kwa rasilimali zetu, Nyamazeni!

Haiwezekani tuendeleze upumbavu! Akili zetu zitafakari kujikomboa Kama Taifa!

Munaotetea ubinafsishaji kwamba Watendaji wezi, ni ninyi pia munatetea wezi wasiadhibiwe!
Akitokea Rais mkali akiwapa misukosuko, munasema anawaonea,
Wakiachwa munasema Rasilimali zibinafsishwe kwa kuwa Ni wezi!

Rasilimali zetu tuziendeshe wenyewe!
Wizi utokomezwe!
Technolojia ipasayo iwekezwe na Serikali

Iweje baba unashindwa kuhudumia familia kwa sababu ya ulevi, Kisha uone kuwa Suluhu Ni kumuomba mwanaume mwingine amlee mkeo na watoto wako,?
Suluhisho Ni kuacha pombe!

Tuendelee kuilinda Nchi yetu kwa manufaa ya vizazi vyetu!
Shida sio ubinafsishaji hivi unawezaje kubinafsisha kwa terms za kwamba unawakabidhi mali hata wakivunja vipengele vya makubaliano huwezi vunja nao mkataba. Hio ni sawa na kuruka mavi ukakanyaga miba. Hata mimi naunga mkono kabisa bandari ibinasishwe lakini kwa terms za kueleweka
 
Pasipo MAONO taifa huangamia, kiongozi kipofu hawezi ongoza kipofu mwenzake wote watatumbukia shimoni.
Viongozi wote wametoka Tanzania, hakuna kiongozi aliyetoka nje ya nchi, Taswira waliyonayo viongozi wetu ndiyo taswira ya jamii yetu nzima.
Kama viongozi ni wezi, basi jamii nao ni wezi.
Hujawahi kusikia mtu anaogopa kufungua biashara kwa sababu haoni mtu wa kuisimamia, kwa kuhofia kuibiwa endapo ataweka msimamizi?
 
Back
Top Bottom