Tunaisaka nafasi ya pili kwa udi na uvumba na tukishaipata TFF ,mtutaeleza kwanini Yanga imefungiwa na FIFA kusajili vinginevyo itakuwa kama Sigara

Mwishokambi

JF-Expert Member
Nov 23, 2020
322
1,208
Sisi sasa hivi tumeweka kiporo hoja ya Yanga kufungiwa kusajili kutokana na kumchezea mfumo, lakini tutakapomaliza nafasi ya pili mtatueleza ilikuwaje kuwaje hadi mkafungiwa, tumeshaandaa wanasheria kabisa wa kushughulikia hoja hiyo na wametuhakikishia ushindi upo dhidi ya uhuni katika soka hapa Bongo.

Kila kitu tunakijua, kumbukeni Azim Dewji alipokorofishana na SImba akainunua Sigara ile ya Peter Manyika, akajifanya mjanja akamuiba Manyika kutoka Mtibwa akijua kabisa Manyika ni mchezaji halali wa Mtibwa, hivyo wakaleta ujeuri na kumchezesha, Sigara akiwa anakaribia ubingwa akapokonywa pointi zote na Professa Kapuya na ikateremka daraja.

Tunawaambia Yanga jambo hili halijaisha, kaeni mkijua kuwa yanayoendelea tunayajua, we want Justice not only to be done burt also seen to be done.
 
Sisi sasa hivi tumeweka kiporo hoja ya Yanga kufungiwa kusajili kutokana na kumchezea mfumo, lakini tutakapomaliza nafasi ya pili mtatueleza ilikuwaje kuwaje hadi mkafungiwa, tumeshaandaa wanasheria kabisa wa kushughulikia hoja hiyo na wametuhakikishia ushindi upo dhidi ya uhuni katika soka hapa Bongo.

Kila kitu tunakijua, kumbukeni Azim Dewji alipokorofishana na SImba akainunua Sigara ile ya Peter Manyika, akajifanya mjanja akamuiba Manyika kutoka Mtibwa akijua kabisa Manyika ni mchezaji halali wa Mtibwa, hivyo wakaleta ujeuri na kumchezesha, Sigara akiwa anakaribia ubingwa akapokonywa pointi zote na Professa Kapuya na ikateremka daraja.

Tunawaambia Yanga jambo hili halijaisha, kaeni mkijua kuwa yanayoendelea tunayajua, we want Justice not only to be done burt also seen to be done.
Wahi Milembe upate tiba mapema!
 
Mnaambiwa kila siku Vuten Bangi halaf mle msosi wa maaana Nyie Mnavuta Bangee halaf mnaenda kijiwen kuambizana story za kina Zuchu na Mondi ndio mnaanza kua vichaa saiv.
 
Picha linaanza unasokota sigara kubwa mkononi , pembeni amekaa Bob Marley, mnatia story, unamuuliza Bob Marley how does it feel to be black and poor person, anakujibu do you have a choice? Can you choose Obamas or Bill Gates to be your biological parents? Can you choose Queen Elizabeth to be your aunt? Basi Mnapokezana sigara kubwa na Bob mwanzo mwisho, gari moshi linakata vijiji na mikoa, kisha maluweluwe yanaanza yakifuatiwa na kupayuka na kurukaruka kwa furaha , baadae Dozi ya mwanzo ya mental ilness inatumika kutuliza mizuka na madhara yake makubwa ndo kama haya unakuja jf kuandika upupu!!!

Ila mi nimemuelewa mtoa mada, kolowizard kama huyu wanakiri wameshindwa kipute uwanjani Yanga inakera mno timu gani haifungiki , inabonda tu simba na hata Mamelodi wameshindwa!! Hata ukikamia Yanga huiwezi labda upewe goli la offside kama la Feitoto , sasa makolo simba wanahamishia mipango ya ushindi wa kombe la NBC ligi kutokea nje ya uwanja. Na hizo ni ndotoooooo!

Simba mashabiki wote wana maumivu makali mno, wanahisi uchungu sana kukandwa ndani nje nasisi uto, imewauma sanaaaaa!!!

Halafu inauma sana kujua huu ufalme wa Yanga ndo bado mpyaaaaaaa na bado kuna miaka mingine mitano mbele ya Mama, makolo mtakoma hadi mhamie Burundi au Sudan. Tutachukua kila kombe hadi la CAF champions league.

Level za Yanga sasa ni kucheza na Real Madrid and Bayern Munich au hata Brazil na France hapa bongo tunaonea tu vitimu kama Simba, Azam na Namungo.

Sasa uto tutawakera kolowizard kwa 11 years, ni umri wa mtoto wangu kuanzia vidudu hadi kumaliza St kayumba 4 + 7 years = 11 years.


Pole sana my wetu! Na bado!! Hata msajili toka Bayer Leverkusen tutawakanda tu!

Daima mbele nyuma mwiko.
 
Kuna timu moja EPL ilikua inasubiri Man city wakatwe points ipewe ubingwa sijui story yao iliishia wapi
 
Duniani akuna mwanasheria utakayempelekea tukio akakwambia akuna ushindi hapa.
Kwani vipi mmefikia wapi kuhusu mabango ya yanga kutumia nembo ya Simba wanasheria SI wamewahakikishia ushindi upooo kesi inaendeleaje huko
 
Wengi Wanaokujibu jibu hapa ni Mashabiki walioanza Ushabiki juzi juzi...

Hawamjui Azim Dewji ni Nani...

Hawajui Sigara ndo Timu Gani...

Ukiwatajia Kulikuwa na Timu ilikuwa inaitwa Nyota Nyekundu au Pilsner Dar es Salaam....hawatakuelewa.

Historia Yao inaanzia Manara kahamia Yanga tu.... ! Isipokuwa Wale Wa2
 
Back
Top Bottom