ndugu zangu wakati umefika watanzania tukaadamana kutaka tume huru ya uchanguzi iliyoundwa bila kushirikisha serkali iliyoko madarakani.tunahitaji mabadiriko ya katiba kuhusiana na mambo ya uchanguzi.
Bila kuwa na wazalendo katika tume nchi hii itaendelea kuibiwa na kuwa ombaomba kwa kupitia neno Umaskini Huku wazungu wanakuja na kuwa matajiri ndani ya nchi maskini Sielewi kabisa Maisha haya.
Hivi ni nani anaye wachagua hao watu wa tume! are they appointed by president!????:bowl::bowl::bowl: Mmmmh this will never work!
ndugu zangu wakati umefika watanzania tukaadamana kutaka tume huru ya uchanguzi iliyoundwa bila kushirikisha serkali iliyoko madarakani.tunahitaji mabadiriko ya katiba kuhusiana na mambo ya uchanguzi.