Tuna mtoto mmoja, aliniumiza sana, sihitaji kuwa na hisia tena za mapenzi, nifanyaje?

bushland

JF-Expert Member
Mar 6, 2015
7,016
4,961
Jamani nimeuzika mno na sasa nahitaji kuwa single, ila ninachotaka ni sihitaji kuwa na hisia za mapenzi tena katika maisha yangu, mwanaume aliniuzi mambo mengi, sasa nimeshindwa kumsamehe ninachotaka nimuache tu na mimi nikaishi mwenyewe, tuna mtoto mmoja na yeye.
 
Fanya maombi (kama ni Mkristo, sali novena ya msamaha). Tumia muda mwingi kutafakari mpango wa Mungu. Jiulize: 1. Je kwa nini Mungu hakukuumba kiccha??
2. Kama Mungu amekupa akili timamu, je unatumia akili hizo kutimiza mapenzi yake?
3.jiulize, je wewe ni mwanamke wa kwanza kukwazwa na mwanaume?
4. Kama ni Mkristo jiulize, je nani aliyewahi kujiua kwa sababu ya matatizo? Soma ktk Biblia kujua kilichompata Noa alipotaka kukaidi mango wa Mungu.
Tafuta huduma ya ushauri nasaha ili uweze kupata tiba sahihi.
Uamuzi unaotaka kufanya hakuna tofauti na mtu anayefanya jaribio la kujiua. Nahisi kama si kwa kuwa una mtoto, ungejiua.
Kukata tamaa ni dhambi mbaya saya. Mkimbie ibilisi.
 
Hakyanani kila siku najua bushland ni mwanaume yeleuwiii euwiii uwiiii eufff siachagi kucheka hivi vituko vyako.

Nasikitika mtu anayenifurahishaga sana humu ana huzuni, you are my favourite, huyo anakuudhi sisi wengine tunahusudu mno kwa hiyo wewe ni mtu muhimu, huwezi kujua Mungu ana mipango gani na wewe. Kwenye maisha ni lazima ujifunze kuvumilia na furaha yako itarudi tu wakati ukifika. Sali sana
 
Usiwadharau watu wakwambia kuwa Yesu anaweza. Jaribu kwanza kumshirikisha shida zako ukiona ameshindwa ndio uwaze hayo mawazo yako.
 
Fanya maombi (kama ni Mkristo, sali novena ya msamaha). Tumia muda mwingi kutafakari mpango wa Mungu. Jiulize: 1. Je kwa nini Mungu hakukuumba kiccha??
2. Kama Mungu amekupa akili timamu, je unatumia akili hizo kutimiza mapenzi yake?
3.jiulize, je wewe ni mwanamke wa kwanza kukwazwa na mwanaume?
4. Kama ni Mkristo jiulize, je nani aliyewahi kujiua kwa sababu ya matatizo? Soma ktk Biblia kujua kilichompata Noa alipotaka kukaidi mango wa Mungu.
Tafuta huduma ya ushauri nasaha ili uweze kupata tiba sahihi.
Uamuzi unaotaka kufanya hakuna tofauti na mtu anayefanya jaribio la kujiua. Nahisi kama si kwa kuwa una mtoto, ungejiua.
Kukata tamaa ni dhambi mbaya saya. Mkimbie ibilisi.
Asante, lakini naona bora niwe peke yangu ntafurahii zaidi,
 
Usiwadharau watu wakwambia kuwa Yesu anaweza. Jaribu kwanza kumshirikisha shida zako ukiona ameshindwa ndio uwaze hayo mawazo yako.
Wakat mwingine naona bora kuwa single maana alitesa mengi hapo sasa ameomba msamaha na kudai kuwa pombe ndio chanzo lakini sasa pombe kaacha, lakini moyo wangu ukikumbuka nakosa Amani nae kabisa
 
Hakyanani kila siku najua bushland ni mwanaume yeleuwiii euwiii uwiiii eufff siachagi kucheka hivi vituko vyako.

Nasikitika mtu anayenifurahishaga sana humu ana huzuni, you are my favourite, huyo anakuudhi sisi wengine tunahusudu mno kwa hiyo wewe ni mtu muhimu, huwezi kujua Mungu ana mipango gani na wewe. Kwenye maisha ni lazima ujifunze kuvumilia na furaha yako itarudi tu wakati ukifika. Sali sana
Nashukuru Sana na nimevumilia mengi ILA naona boda nikachomwe ile sindano za vichaa ili nisipate hisia na mwanaume yoyote, namimi nikaishi single
 
Nenda Mirembe, kajichome tu maana mmezidi kuwa wengi, haina hasara. Ukishachoma nipm
 
Nashukuru Sana na nimevumilia mengi ILA naona boda nikachomwe ile sindano za vichaa ili nisipate hisia na mwanaume yoyote, namimi nikaishi single

Hapana usifanye hivyo kwa ajili ya mtu uliyekuta naye tu, utakuwa umempa ukuu asiostahili. Hebu fikiria mimi ambaye sijawahi hata kukuona ninaadmire sana personality yako!! Bila shaka kuna walio karibu na wewe wanakupenda sana pia. Mtu mmoja asikufanye ujione mnyonge hivyo.

Nina uhakika una nguvu ya kupenda tena. Ila wekeza kwenye maombi usipuuze
 
Nenda Mirembe, kajichome tu maana mmezidi kuwa wengi, haina hasara. Ukishachoma nipm
Kwa hapa arusha ntachomwa wap? Kweli sitanii nimedhamiria kabisa, nanitaleta mrejesho humu
 
Hapana usifanye hivyo kwa ajili ya mtu uliyekuta naye tu, utakuwa umempa ukuu asiostahili. Hebu fikiria mimi ambaye sijawahi hata kukuona ninaadmire sana personality yako!! Bila shaka kuna walio karibu na wewe wanakupenda sana pia. Mtu mmoja asikufanye ujione mnyonge hivyo.

Nina uhakika una nguvu ya kupenda tena. Ila wekeza kwenye maombi usipuuze
Asante, ILA acha nijaribu kwanza hiyo sindano
 
hujielewagi unatokea wapi wewe! mimi sijui ata unaandika vitu gani!!!!!msipo pata wa kuzaa nao mnakuja tena umu kutafuta folishhh!
 
Duuuh pole mwaya, ila sikushauri ukachomwe hiyo sindano kaa Chini tafakar vizuri utapata njia nyengine sio hiyo, dada angu Kuna watu Wana matatizo wakikuhadithia utajiona kuwa una nafuu ila wanajifariji na ktk maisha ya mahusiano uvumilivu unahitajika maana unawezaa ukafanya kitu kibaya mno ambacho sio kizur
 
Back
Top Bottom