Mganga wa Jadi
JF-Expert Member
- Mar 12, 2008
- 280
- 51
Jamani wananchi na watanzania wenzangu, kwa hali ya nchi inavyokwenda hivi sasa, tunahitaji neema ya mungu
kuweza kuinusuru hali jinsi ilivyo. Mbona mambo hayaendi na maisha ya wananchi yanazidi kuwa magumu?
Kwa imani zetu tumwombe mungu alinusuru taifa letu, najua makamanda wa CDM walisema hii nchi haitatawalika na sasa
dalili zote zinaonesha nchi haitawaliki. Namwonea sana huruma JK, naionea huruma nchi yangu bila kujali itikadi zetu tuungane kulinusuru taifa letu.
Mungu ibariki Tanzania na watu wake.
kuweza kuinusuru hali jinsi ilivyo. Mbona mambo hayaendi na maisha ya wananchi yanazidi kuwa magumu?
Kwa imani zetu tumwombe mungu alinusuru taifa letu, najua makamanda wa CDM walisema hii nchi haitatawalika na sasa
dalili zote zinaonesha nchi haitawaliki. Namwonea sana huruma JK, naionea huruma nchi yangu bila kujali itikadi zetu tuungane kulinusuru taifa letu.
Mungu ibariki Tanzania na watu wake.