goodhearted
JF-Expert Member
- Feb 15, 2015
- 943
- 1,110
Ni mtumishi wa umma. Mshahara umeingia kupitia ac ya bank flani naihifadhi. lakini ukawa na nyongeza ya shilings kiasi cha milioni plus. Kutokana na hicho kiasi kilichongoozeka akaunti yake imeshikiliwa. Hawezi hata kuangalia salio.
Kila alipokuwa anaenda kuwaomba waachie account yake ni danadana kuwa baada ya masaa 24 kila kitu litakuwa ok lakini hola.
Ijumaa iliyopita alienda tena kuomba waiachie acount yake. Walimlaghai kwa maneno matam tena mbele ya bank manager kuwa kufika jumatatu kila kitu kitakuwa sawa. Lakini mpaka leo mambo ni yale yale tu. Acount bado haisomi chochote
Kinachotia mashaka ni pale alipoomba bank statement alikuta pesa yake ya mshahara yote haipo ikiwa ni pamoja na kiasi kilichokuwa kimeongezeka. Alikuta pesa aliyoiacha kabla ya mshahara haujatoka. So bank statement zote anazo za baada tu ya mshahara na hii ya juzi aliyokuta mshahara haupo wote na kiasi walichokuwa wameongeza.
Ameongea na customer care makao makuu wanamdirect tawini kuwa case yake inatatuliwa hapo.
Amepambaana kwa gharama kila siku anatoka kijijini kwenda mjini kwa hilo jambo lakini hola
Wataalamu wa mambo haya hii kisheria imekaaje
Kila alipokuwa anaenda kuwaomba waachie account yake ni danadana kuwa baada ya masaa 24 kila kitu litakuwa ok lakini hola.
Ijumaa iliyopita alienda tena kuomba waiachie acount yake. Walimlaghai kwa maneno matam tena mbele ya bank manager kuwa kufika jumatatu kila kitu kitakuwa sawa. Lakini mpaka leo mambo ni yale yale tu. Acount bado haisomi chochote
Kinachotia mashaka ni pale alipoomba bank statement alikuta pesa yake ya mshahara yote haipo ikiwa ni pamoja na kiasi kilichokuwa kimeongezeka. Alikuta pesa aliyoiacha kabla ya mshahara haujatoka. So bank statement zote anazo za baada tu ya mshahara na hii ya juzi aliyokuta mshahara haupo wote na kiasi walichokuwa wameongeza.
Ameongea na customer care makao makuu wanamdirect tawini kuwa case yake inatatuliwa hapo.
Amepambaana kwa gharama kila siku anatoka kijijini kwenda mjini kwa hilo jambo lakini hola
Wataalamu wa mambo haya hii kisheria imekaaje