Complicator
JF-Expert Member
- Aug 23, 2013
- 2,198
- 3,566
Nina dawa yake
nitafute 0655881354
nitafute 0655881354
Nawasalimu wote wana JF,
Naombeni ushauri katika hili tafadhali, majibu ya kejeli sipendi,
Nina miaka 26, katika maisha yangu sikuwahi kufanya mapenz/sex, nina mpenz ambaye mwanzo tulikubaliana kutofanya mapenzi hadi tufunge ndoa lakini tumeshindwa kuvumilia.
Tumejaribu kufanya mapenzi zaidi ya mara 3 kwa siku tofauti bila mafanikio, yaani njia yangu ya uke ni ndogo uume umeshindwa kuingia, naombeni ushauri nini cha kufanya, sisi tumewaza labda tukamwone daktari,
Lakini kabla ya kwenda kwa daktari tafadhali naombeni ushauri wenu.
Nawasilisha,
Nawasalimu wote wana JF,
Naombeni ushauri katika hili tafadhali, majibu ya kejeli sipendi,
Nina miaka 26, katika maisha yangu sikuwahi kufanya mapenz/sex, nina mpenz ambaye mwanzo tulikubaliana kutofanya mapenzi hadi tufunge ndoa lakini tumeshindwa kuvumilia.
Tumejaribu kufanya mapenzi zaidi ya mara 3 kwa siku tofauti bila mafanikio, yaani njia yangu ya uke ni ndogo uume umeshindwa kuingia, naombeni ushauri nini cha kufanya, sisi tumewaza labda tukamwone daktari,
Lakini kabla ya kwenda kwa daktari tafadhali naombeni ushauri wenu.
Nawasilisha,
hahahaha no stress within JFNjia nzuri subir ukishafunga ndoa Utaona inatanuka njia yenyewe hasa ukiwa Honeymoon!!!
Sasa hivi inagoma kwani si mlikubaliana mpaka mfunge ndoa na yenyewe ikasikia ikajifunga inasubir nyinyi mfunge ndo na yenyewe ifungue ndoa. Sasa hapo umekubaliana wewe na mchumba ako muanze mapenz je na zenyewe mmezishirikisha???
Mafuta yanasaidia nini?Mwambie mpenzio atumie ky jelly hayo mafuta yapo kwenye maduka ya madawa
Hehehe mwili ulihisi huna matumizi nako ukaamua kuanza shut down. Soma evolution bidada na ungesubiri tu hadi 30 ingebidi utafute njia mbadala.
Tatizo lako linaweza kuwa jamaa anashindwa kukutayarisha vizuri lakini pia inawezekana hymen zako (bikra) zimeshona kuliko kawaida kiasi ambacho kitu haiingi. Hii inaweza kutokea pia. Hapa inabidi umconsult gynacologist azikate physically.
Samahani ila pia unaweza kuta harufu inayotoka huko sio nzuri sababu ya damu ya hedhi kutotoka kwa ukamilifu na ww mwenyewe kushindwa kujisafisha ipasavyo.
Ha ha ha jf banaHANA LOLOTE....ANACHEZEA AKILI ZA WATU..NA VIPOST VYAKE VYA KITOTO..
Ndio mapenzi ya kisasa au ananipotezea muda?
Ahakikisha bikra kwa kidole
Ushauri: Nimemfumania na mwanamke ndani kwake