Nimeangalia maeneo yalitangazwa na Jaji Warioba nikajiuliza kwa nini imechagua maeneo haya kwa kuanzia?, je ni strategy kama ile ya kutangaza matokeo ya uchaguzi ya 2010 kwa kuanza na sehemu CCM ilikopata ushindi mkubwa?. Maeneo hayo ni Bahi, Biharamulo, Mbulu, Mafia, Kahama, Lushoto, Mkoa wa kusini unguja wilaya ya kusini. Haya ni maeneo ambayo yanaongozwa na wabunge wa CCM. Je kuna strategy imewekwa kama pilot ya kuendesha kitaifa baada ya kupata picha ya maeneo haya?. Wapinzania wasibweteke na tume ya Warioba ' NINAONA GIZA TOTOROO MBELE YA KATIBA MPYA'!
Tuipe muda tume ila nina mashaka makubwa sana na mchakato huu. Hasa ukizingatia kuwa namna mabvyo kura ya maoni itasimamiwa ahijajulikana. Muswada wa kujua bunge la katiba litakuwaje nao haujawasilishwa.
Wasiwasi wangu kuwa baada ya kiini macho cha kukusanya maoni kunaweza fanyika mavouvre ambayo yawaacha wapinzania na watanzania mdomo wazi na kujikuta tukirudi kwenye kipeo cha kwanza.
[video]http://www.katiba.go.tz/index.php/video?task=play&id=13&sl=lates t&layout=listview[/video]
Tuipe muda tume ila nina mashaka makubwa sana na mchakato huu. Hasa ukizingatia kuwa namna mabvyo kura ya maoni itasimamiwa ahijajulikana. Muswada wa kujua bunge la katiba litakuwaje nao haujawasilishwa.
Wasiwasi wangu kuwa baada ya kiini macho cha kukusanya maoni kunaweza fanyika mavouvre ambayo yawaacha wapinzania na watanzania mdomo wazi na kujikuta tukirudi kwenye kipeo cha kwanza.
[video]http://www.katiba.go.tz/index.php/video?task=play&id=13&sl=lates t&layout=listview[/video]