Wakuu waTume wamejiuzulu na kukiri wizi wa kura ,wakisadikisha kupora kura sahihi za wapiga kura 70000 za mgombea Uraisi Imran ambae hata hivyo ameibuka kidedea.
Wakuu hao wamesema amri za kubadilisha zilitoka kwa wakuu wa vyombo vya usalama.
Hapa kwetu wanaobadilisha ni hao wakuu wa Tume na wasimamizi wa waliowekwa na serikali.
Pakistani kunanukia mapigano ya ndani, vizuri wananchi wake wanayaweza.
Serikali ya Tanzania ijifunze kukubali matakwa ya uchaguzi kwa kuepusha mizozo isiyojenga nchi na badala yake ni kuwepo fujo na shida za kiutawalaji.
Wakuu hao wamesema amri za kubadilisha zilitoka kwa wakuu wa vyombo vya usalama.
Hapa kwetu wanaobadilisha ni hao wakuu wa Tume na wasimamizi wa waliowekwa na serikali.
Pakistani kunanukia mapigano ya ndani, vizuri wananchi wake wanayaweza.
Serikali ya Tanzania ijifunze kukubali matakwa ya uchaguzi kwa kuepusha mizozo isiyojenga nchi na badala yake ni kuwepo fujo na shida za kiutawalaji.