Nsabhi
JF-Expert Member
- Feb 23, 2011
- 1,093
- 162
Ndugu wanaJF naomba kujuzwa hivi ile tume iliyoundwa na kamanda Kova kuchunguza watesaji wa Dr. Ulimboka imeshaanza kufanya kazi yake? Je kuna mwenyekujua hadidu za rejea anazotumia kamanda Kova? Je na ile tume iliyoundwa pia kufuatilia tishio la kudhuriwa Dr. Mwakeyembe nayo imeishiwa wapi? Je pia kamanda Kova atamhoji Dr. Ulimboka juu ya watesaji wake ambao yeye Dr. Ulimboka alikiri kuwafahamu?
Naomba kuwasilisha.
Naomba kuwasilisha.