Mapensho star
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 3,052
- 4,075
mimi nimepimwa choo nikakutwa na amiba nimemaliza dawa bado tumbo linaunguruma muda mwingine nahisi kama maumivu yamgongo kuchoma kuchoma kwa mbali sijui kipimo cha endoscopy shiling ngapi sina pesa aiseeMh utakuwa na vidonda mmi nasumbuliwa na hali hyohyo juzi tu nimeenda pima nimekutwa na vidonda vya tumbo kapime kwanza