mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,767
- 7,115
Sisi wakazi wa Bunju beach maeneo yaliyopimwa na Serikali Mradi wa Viwanja Elfu Ishirini(20,000.00) tulipokuwa tunachukua form pale Mwananyamala tuliambiwa kuwa kuanza Mradi wa Viwanja vipya vya Makazi Bora, tulienda kuviona na kuchua kila mtu awezavyo, kwenye kulipa sasa tuliaambiwa vianaanzia million 1, mpaka laki 6 lakini baadaye tuliambiwa kuwa fidia ya waliokuwepo ni kubwa kwa hiyo basi vitakuwa kuanzia millioni 1.5 mpaka million NNe(4 ) kufuatana na ahadi kuwa vitakuwa na kila kitu tukajikomba tukanunua, njoo basi kwenye ahadi ndio utaumia.
1. Tuliambiwa tutaletewa maji sehemu zote.
2. Tutapewa huduma ya Barabara kwa kiwango cha lami.
3. Huduma ya Umeme.
4. Drainege system itaunganishwa na ya serikali,
5. Kujengewa mashule na Huduma ya Afya,
6. kituo kikuu cha Police.
baada ya hapo kinyume chake basi,
1. Barabara walizoandaa zote walimwaga molamu alafu sehemu nyingi azipitiki vilibaki vichaka.
2. Huduma ya maji tunaomba kwa wakazi wa mpiji kuunganishwa ni mpaka millioni mbili alafu bomba dogo na mgawao wa kila jumamosi. Bomba la maji linapita kwetu ambalo lilijengwa zamani lakini wakazi tunategemea maji kutoka mpiji kwa wanakijiji.
3. Huduma ya Umeme - umeme umebadirishiwa kwa watu wa Bunju A na Bunju B, tukienda kuomba umeme wanatukejeri Tanesco kuwa tulizubaa ukachakachuliwa na CCM kuombea kura na Ushirikiano na Anjera aliyeshindwa kwa Kishindo. Ukienda bunju kuna matransforma matatu wakati watumiaji wachache sana (ukitaka data ninazo) huyu mama alisema kuwa wakazi wa Bunju beach sio wapiga kula kwa sababu wakati wa kujiandikisha walikuwa hawajaamia, ambavyo ilikuwa ni kweli kabisa.
4. Baadhi ya maeneo yaliyoandaliwa kwa ajiri ya shule na Zahanati yamevamiwa na vijana wamejenga vibanda vyao, na ndio makazi ya vibaka na wavuta bangi(ushaidi hupo police Bunju A).
Tunaomba Mama Tibaijuka awakumbushe ahadi ya makazi mapya na Bora waliosema kuwa Mradi Utakuwa wa mfano Tanzania sasa umekuwa wa Mfanano na nairobi magengeni!!!
1. Tuliambiwa tutaletewa maji sehemu zote.
2. Tutapewa huduma ya Barabara kwa kiwango cha lami.
3. Huduma ya Umeme.
4. Drainege system itaunganishwa na ya serikali,
5. Kujengewa mashule na Huduma ya Afya,
6. kituo kikuu cha Police.
baada ya hapo kinyume chake basi,
1. Barabara walizoandaa zote walimwaga molamu alafu sehemu nyingi azipitiki vilibaki vichaka.
2. Huduma ya maji tunaomba kwa wakazi wa mpiji kuunganishwa ni mpaka millioni mbili alafu bomba dogo na mgawao wa kila jumamosi. Bomba la maji linapita kwetu ambalo lilijengwa zamani lakini wakazi tunategemea maji kutoka mpiji kwa wanakijiji.
3. Huduma ya Umeme - umeme umebadirishiwa kwa watu wa Bunju A na Bunju B, tukienda kuomba umeme wanatukejeri Tanesco kuwa tulizubaa ukachakachuliwa na CCM kuombea kura na Ushirikiano na Anjera aliyeshindwa kwa Kishindo. Ukienda bunju kuna matransforma matatu wakati watumiaji wachache sana (ukitaka data ninazo) huyu mama alisema kuwa wakazi wa Bunju beach sio wapiga kula kwa sababu wakati wa kujiandikisha walikuwa hawajaamia, ambavyo ilikuwa ni kweli kabisa.
4. Baadhi ya maeneo yaliyoandaliwa kwa ajiri ya shule na Zahanati yamevamiwa na vijana wamejenga vibanda vyao, na ndio makazi ya vibaka na wavuta bangi(ushaidi hupo police Bunju A).
Tunaomba Mama Tibaijuka awakumbushe ahadi ya makazi mapya na Bora waliosema kuwa Mradi Utakuwa wa mfano Tanzania sasa umekuwa wa Mfanano na nairobi magengeni!!!