Gaddaf i06
JF-Expert Member
- Nov 14, 2022
- 1,759
- 2,799
Sheria imewekwa ili ivunjwe.
Tangu nilipoanza kusikia habali za bangi, sikutaka kuamini hivi hivi bila kuifanyia test!
Bangi niliipata kiulaini tu (kijijini), nikaiandaa vema kabisa na tayari kwa matumizi!!
Bwana wee! Nikapanga ratiba zangu vizuri ili baada ya kumaliza kazi zote niende sehemu TULIVU nivute sasa! (nilijuwa naweza kutokewa na lolote ndiyo maana nikajipanga)
Jioni nikaenda zangu mlimani nikiwa na msokoto wangu mfukoni pamoja na kiberiti.. Nilivuta ile kitu mpaka ikaisha kabisaa, nami nikatulia kusubiri matokeo!!
Nilikaa pale kama dak 10 bila kuhisi chochote wala hakuna kilichotokea.
Nikahisi labda nimeitengeneza vibaya, nikaenda kufanya udadisi huko mtaani japo sikusema lengo..
Nilipewa somo na nikalifanyia kazi sikuona utofauti wowote na mwanzo!
Mwaka 2016, nikakutana na bosi flani mwanachama mzuri tu nikamwambia namimi natumia hiyo kitu(ktk stori za hapa na pale) jamaa hakuwa mchoyo!!
Aah nikakata tamaa nikasema bangi ni UTAPELI bora unywe konyagi
Tangu nilipoanza kusikia habali za bangi, sikutaka kuamini hivi hivi bila kuifanyia test!
Bangi niliipata kiulaini tu (kijijini), nikaiandaa vema kabisa na tayari kwa matumizi!!
Bwana wee! Nikapanga ratiba zangu vizuri ili baada ya kumaliza kazi zote niende sehemu TULIVU nivute sasa! (nilijuwa naweza kutokewa na lolote ndiyo maana nikajipanga)
Jioni nikaenda zangu mlimani nikiwa na msokoto wangu mfukoni pamoja na kiberiti.. Nilivuta ile kitu mpaka ikaisha kabisaa, nami nikatulia kusubiri matokeo!!
Nilikaa pale kama dak 10 bila kuhisi chochote wala hakuna kilichotokea.
Nikahisi labda nimeitengeneza vibaya, nikaenda kufanya udadisi huko mtaani japo sikusema lengo..
Nilipewa somo na nikalifanyia kazi sikuona utofauti wowote na mwanzo!
Mwaka 2016, nikakutana na bosi flani mwanachama mzuri tu nikamwambia namimi natumia hiyo kitu(ktk stori za hapa na pale) jamaa hakuwa mchoyo!!
Aah nikakata tamaa nikasema bangi ni UTAPELI bora unywe konyagi