gfsonwin
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 18,274
- 20,675
Sasa wewe unaona hii mada inafaa kujadiliwa hapa JF kweli? embu soma mada za JF ya mwaka 2006 na 2007 uone!! Halafu linganisha na mada zinazoletwa hapa 2012!! Utanielewa vizuri.
kwa taarifa yako hao hao waliokuwa wanachangia miaka hiyo baadhi yao ndio hao hao wanachangia sasa. istoshe kama za siku hizi huzipend basi ondoka jamvini just like that.
pia unategemea kwa kuandika haya maneno yako ndipo utakapotubadilisha mtazamo wa kufikiri kwetu?? FYI shule haimfanyi mtu kuwa na akili bali humwongezea wigo na upana wa kufikiri tu. akili tulishazaliwa nazo mkuu huna uwezo wa kutufanya tuwe nazo tena.