mbarikiwa
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 505
- 39
Tuliandamana kwanini hatuandamani?
Bushi alipokuwa anakuja Tanzania tuliandamana kupinga ziara yake maana anatuonea sisi wanyenyekevu
Waisrael walipowachapa Hamas tuliandamana maana wanyenyekevu tunaonewa
Mahakama ya ICC ilipomtia hatiani mnyenyekevu mwezetu Bashiri tuliandamana na kusema wanyenyekevu tunaonewa.
Sasa Bashiri amewafukuza watoa msaada wa kimataifa kule Darfur, na pia jana wafuasi wake wamemuua mslam wa kiafrika kule Darfur kwa sababu anafanya kazi na hawa umoja wa mataifa wanaotaka kumkamata mnyenyekevu Bashiri.
Zaidi ya hayo Waslam wenzetu wa kule Darfur wanakufa kila siku kwa matatizo yaliyoanzishwa na Bashir.
Swali langu ni hili kama tuliweza kuandamana kwa hayo mengine yote yanayowahusu Wanyenyekevu wa kiarabu, Je hapa Waslam wenzetu wanakufa tu kwa kunyanyaswa na waarabu kwa nini hatuandamani?
Nachelea kusema kuwa huwa tunaandamana kutokana na njaa zetu ili waarabu watuongezee mafedha yao ya mafuta.
Tuandamane wajameni,
Tuliandamana, kwa nini tusiandamane?
Bushi alipokuwa anakuja Tanzania tuliandamana kupinga ziara yake maana anatuonea sisi wanyenyekevu
Waisrael walipowachapa Hamas tuliandamana maana wanyenyekevu tunaonewa
Mahakama ya ICC ilipomtia hatiani mnyenyekevu mwezetu Bashiri tuliandamana na kusema wanyenyekevu tunaonewa.
Sasa Bashiri amewafukuza watoa msaada wa kimataifa kule Darfur, na pia jana wafuasi wake wamemuua mslam wa kiafrika kule Darfur kwa sababu anafanya kazi na hawa umoja wa mataifa wanaotaka kumkamata mnyenyekevu Bashiri.
Zaidi ya hayo Waslam wenzetu wa kule Darfur wanakufa kila siku kwa matatizo yaliyoanzishwa na Bashir.
Swali langu ni hili kama tuliweza kuandamana kwa hayo mengine yote yanayowahusu Wanyenyekevu wa kiarabu, Je hapa Waslam wenzetu wanakufa tu kwa kunyanyaswa na waarabu kwa nini hatuandamani?
Nachelea kusema kuwa huwa tunaandamana kutokana na njaa zetu ili waarabu watuongezee mafedha yao ya mafuta.
Tuandamane wajameni,
Tuliandamana, kwa nini tusiandamane?