Habari za kusikitisha nimezipata leo asubuhi ambapo watu wawili wamepoteza maisha na wengine kadhaa kujeruhiwa na hali zao ni mbaya sana. Tukio hili limetokea usiku wa kuamkia leo ambapo watu wanaodhaniwa kuwa ni majambazi wamevamia nyumba tatu yaani familia tatu ndani ya usiku huo huo mmoja, katika familia moja waliyovamia wamempiga mama wa familia hiyo na mama huyo kupoteza maisha papo hapo lakini baba wa familia hiyo akafanikiwa kuwaponyoka, wakaenda familia nyingine na kumwua baba wa familia hiyo kwa kumpiga risasi lakini mwisho kabisa wakaingia nyumba nyingine na kuacha watu wa familia hiyo wakiwa katika hali mbaya mara baada ya kupigwa kwa mapanga na visu. Lakini pia wameondoka na baba wa familia moja na mpaka naingia humu jamvini alikuwa bado hajapatikana.
Kwa wanaozaliwa kijijini hapo kama mimi wanafahamu kuwa kijiji hiki kipo mpakani kabisa na nchi jirani ya Burundi, na matukio kama haya yamekuwa yakijirudia mara kwa mara, na inasakikika kuwa ni askari wa jeshi la Jirani huingia na kufanya uhalifu huo, lakini pia maeneo haya hakuna hata hospitari inayoweza kunusuru maisha ya wahanga kama hawa isipokuwa kuna nahanati ya mission ambayo hata haiwezi kutoa huduma ya damu. Vijiji hivi vyote vilivyoko pembezoni mwa mkoa huu wa kigoma hatuna hospitali ni mpaka kusafiri kilometer kama 1000 kufuata hospitari ya wilaya ya Kibondo, na watu wengi wamepoteza maisha njiani wakati wakisafirishwa kuelekea hospitali hiyo ya wilaya.
Cha kusikitisha zaidi ni kwamba kijijini hapa kuna kituo cha polisi na moja kati familia ambayo imevamiwa ni karibu sana na mahali kituo kilipo, sasa najiuliza hawa police wanafanya kazi gani mpaka ifike hatua ya raia kuteswa wakati wamewezeshwa kwa kila namna ili kuilinda mali na maisha ya watz.
Christopher Chiza mbuge wa hili eneo upoooooo..........................!!!
Umeyasikia hayo kabla yangu au ni kwamba ndo unashtuka, hay shtuka basi afu uchukue hatua maana hali ya wananchi wako tunaoishi maeneo haya yapo taabani na mashakani tunaishi kama vile tupo Africa ya kati...!!
Tafadhali chukua hatua za msingi................... ;asaaasad.....!!
Source; Baba yangu mzazi aliyeko kijijini hapo.
Kwa wanaozaliwa kijijini hapo kama mimi wanafahamu kuwa kijiji hiki kipo mpakani kabisa na nchi jirani ya Burundi, na matukio kama haya yamekuwa yakijirudia mara kwa mara, na inasakikika kuwa ni askari wa jeshi la Jirani huingia na kufanya uhalifu huo, lakini pia maeneo haya hakuna hata hospitari inayoweza kunusuru maisha ya wahanga kama hawa isipokuwa kuna nahanati ya mission ambayo hata haiwezi kutoa huduma ya damu. Vijiji hivi vyote vilivyoko pembezoni mwa mkoa huu wa kigoma hatuna hospitali ni mpaka kusafiri kilometer kama 1000 kufuata hospitari ya wilaya ya Kibondo, na watu wengi wamepoteza maisha njiani wakati wakisafirishwa kuelekea hospitali hiyo ya wilaya.
Cha kusikitisha zaidi ni kwamba kijijini hapa kuna kituo cha polisi na moja kati familia ambayo imevamiwa ni karibu sana na mahali kituo kilipo, sasa najiuliza hawa police wanafanya kazi gani mpaka ifike hatua ya raia kuteswa wakati wamewezeshwa kwa kila namna ili kuilinda mali na maisha ya watz.
Christopher Chiza mbuge wa hili eneo upoooooo..........................!!!
Umeyasikia hayo kabla yangu au ni kwamba ndo unashtuka, hay shtuka basi afu uchukue hatua maana hali ya wananchi wako tunaoishi maeneo haya yapo taabani na mashakani tunaishi kama vile tupo Africa ya kati...!!
Tafadhali chukua hatua za msingi................... ;asaaasad.....!!
Source; Baba yangu mzazi aliyeko kijijini hapo.