Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 21,529
- 37,850
Damu ya mtu hajawahi kumwacha muuaji bila kuweweseka. Jificheni kwenye ID fake lakini Mungu anawajua mpaka kwa sura atawaumbua tu. Vipropaganda vya kipumbavupumbavu mnadhani vitamsafisha aliyeahidi kuwashughulikia wapinzani wakitoka bungeni? Na Lissu kapigwa risasi akiwa anatoka bungeni. Hakuna utakaso Wa kunawa maji kwenye mikono ya damu. Mikono yenye damu husafishwa kwa toba na ungamo. Mwambieni ajitokeze atubu vinginevyo damu ya Saanane, Roma na Lisu itaendelea kuchuruzika mikononi mwake maisha yake yote.Mwaka 2009 ulikuwa uchaguzi ndani ya Chadema,lakini mwaka mmoja kabla, yaani August 2008 Chacha Zakayo Wangwe alifariki ktk ajali ya gari iliyogubikwa na utata mwingi.
Mwaka 2014 ulikuwa uchaguzi ndani ya Chadema,mwaka 2013 habari zilisambaa kuwa mmoja wa vijana wa Chadema (jina linajulikana) alituhumiwa hadharani kuwa akitumwa kumuwekea Sumu Zitto Kabwe.
Mwaka 2018 ni uchaguzi mkuu ndani ya Chadema, Septemba 2017 Tundu Lissu amepatwa na tukio la kupigwa risasi na watu wasiojulikana.
Haya matukio hayahusiani, ila yote yametokea mwaka mmoja kabla ya mwaka wa uchaguzi ndani ya Chadema. Inavyoonekana mwaka mmoja kabla ya uchaguzi huwa siyo mwaka mzuri sana kwa viongozi wa juu wa Chadema
[HASHTAG]#GetWellSoonTunduLissu[/HASHTAG] [HASHTAG]#LetUsAllPray4Lissu[/HASHTAG]
Magoiga SN
ACHA nikae KIMYA...!