Tukio la Bomu Arusha: The game was planned - kauli ya baadhi ya polisi

In Russia, on the local level organized crime is strongly reputed to be linked with both government in general and law enforcement in particular. Happens on federal level as well. Given russia's "freedom of speech", most of the evidence is individual blogs, but everyone knows plenty of examples. Kind of hard for the government to fight itself.
Mida ya asubuhi hii nilikuwa napita maeneo ya central police, nikabahatika kubadilishana mawazo na baadhi ya askari polisi.

Askari moja alinidokeza kuwa hii game ilipangwa na serikali ya ccm baada ya kugundua kwa Arusha hawakubaliki!

Akaenda mbali zaidi kwa kuniambia kwamba ukitaka kujua hii ishu serikali haikwepi, akasema mrusha bomu alisubiri dakika ya mwisho kabisa, tena kaniambia nijaribu tu ku refer kwenye kauli ya Mwanry kuwa Meya Lyimo hataondolewa mpaka 2015 taka wasitake!

Polisi wanajua CCM na serikali yao wanawaza umeya siyo kitu kingine! Wanafanya kila hila meya abaki madarakani!

Kauli ya mwigulu kuwa ccm watatangazwa kwa gharama yoyote, kauli ambayo ilisemwa na Nape pamoja na Mwigulu ilikuwa inaashiria uvunjifu wa amani!

Baadaye akaniambia kuwa kuna jamaa zenu jana walipigwa kule themi, ni mpango uliopangwa ku qualify kuwa Arusha siyo amani ili uchaguzi usifanyike!

Ameniambia kuhusu tukio la Themi kuna Inspector wetu hapa alikuwa anafuatilia wahuni waliohusika na mashambulizi yale baada ya kupata taarifa kuwa wapo mahali, lakini alipomweleza mkubwa wetu wa wilaya kuwa anakwenda huko akaambiwa aachane na hiyo biashara! Kwa hiyo hakuna uchunguzi unaoendelea kuhusu hili tukio!

Huyu polisi kaniambia kuwa hata tarehe 30 wameisema tu kwa sababu lengo la CCM ni kuahirisha uchaguzi hadi 2015 ili meya mnayemwita meya feki aendelee kuwepo!
 
Mida ya asubuhi hii nilikuwa napita maeneo ya central police, nikabahatika kubadilishana mawazo na baadhi ya askari polisi.

Askari moja alinidokeza kuwa hii game ilipangwa na serikali ya ccm baada ya kugundua kwa Arusha hawakubaliki!

Akaenda mbali zaidi kwa kuniambia kwamba ukitaka kujua hii ishu serikali haikwepi, akasema mrusha bomu alisubiri dakika ya mwisho kabisa, tena kaniambia nijaribu tu ku refer kwenye kauli ya Mwanry kuwa Meya Lyimo hataondolewa mpaka 2015 taka wasitake!

Polisi wanajua CCM na serikali yao wanawaza umeya siyo kitu kingine! Wanafanya kila hila meya abaki madarakani!

Kauli ya mwigulu kuwa ccm watatangazwa kwa gharama yoyote, kauli ambayo ilisemwa na Nape pamoja na Mwigulu ilikuwa inaashiria uvunjifu wa amani!

Baadaye akaniambia kuwa kuna jamaa zenu jana walipigwa kule themi, ni mpango uliopangwa ku qualify kuwa Arusha siyo amani ili uchaguzi usifanyike!

Ameniambia kuhusu tukio la Themi kuna Inspector wetu hapa alikuwa anafuatilia wahuni waliohusika na mashambulizi yale baada ya kupata taarifa kuwa wapo mahali, lakini alipomweleza mkubwa wetu wa wilaya kuwa anakwenda huko akaambiwa aachane na hiyo biashara! Kwa hiyo hakuna uchunguzi unaoendelea kuhusu hili tukio!

Huyu polisi kaniambia kuwa hata tarehe 30 wameisema tu kwa sababu lengo la CCM ni kuahirisha uchaguzi hadi 2015 ili meya mnayemwita meya feki aendelee kuwepo!

Acha ujinga, cuf tu inawatoa jasho mnasingizia ccm! Napata mashaka sana na ushabiki katika suala hili la bomu na uchaguzi.
 
Kama kawaida ya baadhi ya Watanzania. Tunaweza kupata TUZO ya juu kwa habari za KUFIKIRIKA.

Huyo polisi inaonekana mnafahamiana na kuaminiana sana!. Cha kushangaza kama alizijua habari hizi nyeti na nzito, kwa nini hakukuambia kabla ya tukio halijafanyika ili kuepusha maafa?. Watanzania wote siyo "madodoki" na kikubwa zaidi, watanzania wana akili zenye "chujio".

"Akili ndogo kuongoza akili kubwa"

We can't buy such obnoxious and shoddy propaganda. Your propaganda needs ADDED value.

ukichukulia kwamba huyuhuyu mungi jana alisema wanayo majina ya wote waliohusika na bomu leo anakuja kwa style ya kuwa amekutana na polisi,hawa wauaji ni kama wanatuchezea akili hapa,vyombo vya usalama haviwezi kweli kutrack watu kama hawa ili waeleze hasa nini kinaendelea.
 
Are you using common sense?.

Maelezo yako ni marefu.

Hawa polisi ambao ni marafiki wa karibu na Mungi unaowasema walikuwa kwenye mpango maalum na wametimiza mipango hiyo unayoisema, halafu hao hao baada ya kumaliza shughuli waliyotumwa, wanakutana na Mungi na kumwambia mpango walioufanya ulikuwa umepangwa, kwa maana kuwa hao polisi wameua baadhi ya watu na wengine kuwapiga mabomu ya machozi na wanamwambia Mungi kuwa ni wao wamewapiga mabomu ya machozi na wameua kwa sababu huo ulikuwa mpango umepangwa. DOES THAT MAKE SENSE TO YOU?. I Hope it does!!.

Bavicha ni janga la taifa na inastahili kupigwa vita kama ukoma.
Wewe MwanaDiwani siku zote huwa unapenda sana kutumia simple minds katika kujadili hard issues. Hivi ukiambiwa polisi walirusha bomu manake polisi wote wa Arusha walishika bomu na kurusha? Kinachokufanya wewe usikubaliane na ukweli kwamba baadhi ya polisi hawakuwa kwenye huo mpango na hawajapendezwa nao ni nini? Some innocent polisi wanaokerwa na uhuni wa CCM wanaweza kuwa wameshare jambo hili na Mungi! Kwani hicho hakiwezekani? Umeulizwa hapa, logic ya kurusha mabomu ya machozi kwenye tukio la bomu kama lile ilikuwa ni nini? Kama si kuzuia wananchi wasimkamate huyo mrusha bomu?
 
Mida ya asubuhi hii nilikuwa napita maeneo ya central police, nikabahatika kubadilishana mawazo na baadhi ya askari polisi.

Askari moja alinidokeza kuwa hii game ilipangwa na serikali ya ccm baada ya kugundua kwa Arusha hawakubaliki!

Akaenda mbali zaidi kwa kuniambia kwamba ukitaka kujua hii ishu serikali haikwepi, akasema mrusha bomu alisubiri dakika ya mwisho kabisa, tena kaniambia nijaribu tu ku refer kwenye kauli ya Mwanry kuwa Meya Lyimo hataondolewa mpaka 2015 taka wasitake!

Polisi wanajua CCM na serikali yao wanawaza umeya siyo kitu kingine! Wanafanya kila hila meya abaki madarakani!

Kauli ya mwigulu kuwa ccm watatangazwa kwa gharama yoyote, kauli ambayo ilisemwa na Nape pamoja na Mwigulu ilikuwa inaashiria uvunjifu wa amani!

Baadaye akaniambia kuwa kuna jamaa zenu jana walipigwa kule themi, ni mpango uliopangwa ku qualify kuwa Arusha siyo amani ili uchaguzi usifanyike!

Ameniambia kuhusu tukio la Themi kuna Inspector wetu hapa alikuwa anafuatilia wahuni waliohusika na mashambulizi yale baada ya kupata taarifa kuwa wapo mahali, lakini alipomweleza mkubwa wetu wa wilaya kuwa anakwenda huko akaambiwa aachane na hiyo biashara! Kwa hiyo hakuna uchunguzi unaoendelea kuhusu hili tukio!

Huyu polisi kaniambia kuwa hata tarehe 30 wameisema tu kwa sababu lengo la CCM ni kuahirisha uchaguzi hadi 2015 ili meya mnayemwita meya feki aendelee kuwepo!


Acha uongo yaani ulikuwa unapita tu polisi wakukuambia yote hayo.
 
Mkuu poleni sana. Hata mimi ingawa sipo Arusha nimepata fununu kama hizo. Uchaguzi kupangwa Juni 30 ni changa la moto, nia ni ccm iendelee kubaki madarakani. Ila wanasahau usemi ya kuwa Kila chenye mwanzo kina mwisho. Kitaeleweka tu!


dah inauma sana.....hebu jiulize katika hali kama ile ambapo wananchi walikuwa wanakimbia tena kwa hiyari yao kuokoa maisha yao je askari walihitaji kupiga mabomu ya machozi na risasi hewani? Sielewi coz watu wlimuona kija na aliyerusha bomu......sasa badala ya kusapot watu katka kumkmata eti mwapga mabomu na risasi hewani? Were u guyz covering.....................?????????? Dah.hii mbaya sana?
 
ukichukulia kwamba huyuhuyu mungi jana alisema wanayo majina ya wote waliohusika na bomu leo anakuja kwa style ya kuwa amekutana na polisi,hawa wauaji ni kama wanatuchezea akili hapa,vyombo vya usalama haviwezi kweli kutrack watu kama hawa ili waeleze hasa nini kinaendelea.
CHADEMA walipendekeza iundwe tume ya kimahakama kwa ajili ya kuchunguza haya mambo na hali ya usalama wa nchi kwa ujumla lakini Kikwete anakwepa! Kuna nini hapo? Mnakijua mnachokifanya nyie CCM na Rais wenu dhaifu Kikwete, mmeshindwa kujenga hoja na kujijenga kisiasa kwa kutelekeza ahadi zenu, ndiyo mnaamua kutumia mauaji? Hizi damu za watanzania hazitakwenda bure. Ni lazima tu zilipwe, kama siyo kwenu basi kwa watoto wenu.
 
Kinachonihuzunisha watanzania wamekuwa wepesi sana wa kuamini mambo bila kuyafanyia uchunguzi mtoa mada umefanikiwa kuwaaminisha na hili


Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Wewe MwanaDiwani siku zote huwa unapenda sana kutumia simple minds katika kujadili hard issues. Hivi ukiambiwa polisi walirusha bomu manake polisi wote wa Arusha walishika bomu na kurusha? Kinachokufanya wewe usikubaliane na ukweli kwamba baadhi ya polisi hawakuwa kwenye huo mpango na hawajapendezwa nao ni nini? Some innocent polisi wanaokerwa na uhuni wa CCM wanaweza kuwa wameshare jambo hili na Mungi! Kwani hicho hakiwezekani? Umeulizwa hapa, logic ya kurusha mabomu ya machozi kwenye tukio la bomu kama lile ilikuwa ni nini? Kama si kuzuia wananchi wasimkamate huyo mrusha bomu?
Hao polisi waliokerwa ambao mpaka wakutane bila kutarajia na rafiki yao Mungi ndiyo wamweleze hali halisi ambayo waliifahamu kama ingetokea na kuua au kujeruhi watu lakini hawakutaka kumwambia rafiki yao wa karibu anayeitwa Mungi?. Hawa kweli ni marafiki wa kweli!!.

I'm using simple logic to dissect bavicha simple logic.
 
Kwanza wewe ni nani mpaka uthibitishe hii taarifa?,hakuna sosi na ilivyoandikwa ni kama vile ulikuwa umesimamiwa!!!!!!,maelezo ya kipuuzi hivi wapelekee wapuuzi wenzio bwana humu tunahitaji taarifa zilizokamilika.
Watu wote waccm mnapinga kila kitu humu.Naamini mnajua mipango yote ya hili tukio na nyinyi ni wausika.JIULIZE BOMU LIMELIPUKA NA KUUA POLISI WANAPIGA MABOMU YA MCHOZI WALIKUA WANAMOKOA NANI KAMA SI MLIPUAJI?.
 
There are currently 696 users browsing this thread. (77 members and 619 guests)
 
Mida ya asubuhi hii nilikuwa napita maeneo ya central police, nikabahatika kubadilishana mawazo na baadhi ya askari polisi.

Askari moja alinidokeza kuwa hii game ilipangwa na serikali ya ccm baada ya kugundua kwa Arusha hawakubaliki!

Akaenda mbali zaidi kwa kuniambia kwamba ukitaka kujua hii ishu serikali haikwepi, akasema mrusha bomu alisubiri dakika ya mwisho kabisa, tena kaniambia nijaribu tu ku refer kwenye kauli ya Mwanry kuwa Meya Lyimo hataondolewa mpaka 2015 taka wasitake!

Polisi wanajua CCM na serikali yao wanawaza umeya siyo kitu kingine! Wanafanya kila hila meya abaki madarakani!

Kauli ya mwigulu kuwa ccm watatangazwa kwa gharama yoyote, kauli ambayo ilisemwa na Nape pamoja na Mwigulu ilikuwa inaashiria uvunjifu wa amani!

Baadaye akaniambia kuwa kuna jamaa zenu jana walipigwa kule themi, ni mpango uliopangwa ku qualify kuwa Arusha siyo amani ili uchaguzi usifanyike!

Ameniambia kuhusu tukio la Themi kuna Inspector wetu hapa alikuwa anafuatilia wahuni waliohusika na mashambulizi yale baada ya kupata taarifa kuwa wapo mahali, lakini alipomweleza mkubwa wetu wa wilaya kuwa anakwenda huko akaambiwa aachane na hiyo biashara! Kwa hiyo hakuna uchunguzi unaoendelea kuhusu hili tukio!

Huyu polisi kaniambia kuwa hata tarehe 30 wameisema tu kwa sababu lengo la CCM ni kuahirisha uchaguzi hadi 2015 ili meya mnayemwita meya feki aendelee kuwepo!

haya bwana mungi yaani tabiazako za kike bado ujaacha endeleza umbea pro chadema
 
There are currently 696 users browsing this thread. (77 members and 619 guests) waiting for video, where is MUNGI and Ubwabwa
 
Are you using common sense?.

Maelezo yako ni marefu.

Hawa polisi ambao ni marafiki wa karibu na Mungi unaowasema walikuwa kwenye mpango maalum na wametimiza mipango hiyo unayoisema, halafu hao hao baada ya kumaliza shughuli waliyotumwa, wanakutana na Mungi na kumwambia mpango walioufanya ulikuwa umepangwa, kwa maana kuwa hao polisi wameua baadhi ya watu na wengine kuwapiga mabomu ya machozi na wanamwambia Mungi kuwa ni wao wamewapiga mabomu ya machozi na wameua kwa sababu huo ulikuwa mpango umepangwa. DOES THAT MAKE SENSE TO YOU?. I Hope it does!!.

Bavicha ni janga la taifa na inastahili kupigwa vita kama ukoma.

inamake sense,wakati tukiendelea kusubiri video ya mungi ikionyesha mripuaji akiondoka na gari ya polisi,hivi inachukua masaa mangapi kuupload video au bado wanaedit?.
Mi naona kama RPC wa arusha anatakiwa astepdown maana matukio mengi inaonekana hana hata uwezo wa kupredict matukio na hivyo kuyazuia.
 
Huyo polis ni tapeli na mwongo kwa maneno hayo ya kuambiwa yamekuridhisha kuthibitisha?yatasemwa mengi sana mwisho wa siku ukweli utajulikana.
Siamini kama chama cha mapinduzi kinaweza kuua raia wake hizi ni hujuma tuu zinazofanyika.Mungu ibariki Tanzania.

endelea kulala but when u will wake up u will find ur self ur naked.
 
Are you using common sense?.

Maelezo yako ni marefu.

Hawa polisi ambao ni marafiki wa karibu na Mungi unaowasema walikuwa kwenye mpango maalum na wametimiza mipango hiyo unayoisema, halafu hao hao baada ya kumaliza shughuli waliyotumwa, wanakutana na Mungi na kumwambia mpango walioufanya ulikuwa umepangwa, kwa maana kuwa hao polisi wameua baadhi ya watu na wengine kuwapiga mabomu ya machozi na wanamwambia Mungi kuwa ni wao wamewapiga mabomu ya machozi na wameua kwa sababu huo ulikuwa mpango umepangwa. DOES THAT MAKE SENSE TO YOU?. I Hope it does!!.

Bavicha ni janga la taifa na inastahili kupigwa vita kama ukoma.

inamake sense,wakati tukiendelea kusubiri video ya mungi ikionyesha mripuaji akiondoka na gari ya polisi,hivi inachukua masaa mangapi kuupload video au bado wanaedit?.
Mi naona kama RPC wa arusha anatakiwa astepdown maana matukio mengi inaonekana hana hata uwezo wa kupredict matukio na hivyo kuyazuia.
 
Back
Top Bottom