CHIETH
Senior Member
- Aug 15, 2011
- 179
- 67
In Russia, on the local level organized crime is strongly reputed to be linked with both government in general and law enforcement in particular. Happens on federal level as well. Given russia's "freedom of speech", most of the evidence is individual blogs, but everyone knows plenty of examples. Kind of hard for the government to fight itself.
Mida ya asubuhi hii nilikuwa napita maeneo ya central police, nikabahatika kubadilishana mawazo na baadhi ya askari polisi.
Askari moja alinidokeza kuwa hii game ilipangwa na serikali ya ccm baada ya kugundua kwa Arusha hawakubaliki!
Akaenda mbali zaidi kwa kuniambia kwamba ukitaka kujua hii ishu serikali haikwepi, akasema mrusha bomu alisubiri dakika ya mwisho kabisa, tena kaniambia nijaribu tu ku refer kwenye kauli ya Mwanry kuwa Meya Lyimo hataondolewa mpaka 2015 taka wasitake!
Polisi wanajua CCM na serikali yao wanawaza umeya siyo kitu kingine! Wanafanya kila hila meya abaki madarakani!
Kauli ya mwigulu kuwa ccm watatangazwa kwa gharama yoyote, kauli ambayo ilisemwa na Nape pamoja na Mwigulu ilikuwa inaashiria uvunjifu wa amani!
Baadaye akaniambia kuwa kuna jamaa zenu jana walipigwa kule themi, ni mpango uliopangwa ku qualify kuwa Arusha siyo amani ili uchaguzi usifanyike!
Ameniambia kuhusu tukio la Themi kuna Inspector wetu hapa alikuwa anafuatilia wahuni waliohusika na mashambulizi yale baada ya kupata taarifa kuwa wapo mahali, lakini alipomweleza mkubwa wetu wa wilaya kuwa anakwenda huko akaambiwa aachane na hiyo biashara! Kwa hiyo hakuna uchunguzi unaoendelea kuhusu hili tukio!
Huyu polisi kaniambia kuwa hata tarehe 30 wameisema tu kwa sababu lengo la CCM ni kuahirisha uchaguzi hadi 2015 ili meya mnayemwita meya feki aendelee kuwepo!