Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,148
ndugu wapenzi wa jf nimefarijika sana baada ya kuona huzuni zote na makelee yote ya watanzania hayajawasaidia kumshawishi raisi kuwaweka ndani wale walioiba pesa za epa na matokeo yake walioiba kabisa wamekwishapewa msamaha wa dhambi akiwamo yeye mwenyewe na pesa za UCHAGUZI WA CCM 2005,sasa kumekuja na hii ni kwa wale wanyonge waliohusishwa kwa shida zetu kwamba kama msaamaha aupo kwa raisi tukumbuke utakuja mahakamani,lah nimepata fndisho lingine baada ya kila mwizi wa epa kuambiwa apeleke nusu pesa,kama kinga ya mdhamana ,,
wito wangu kama mtapa nafasi,,ya kuiba ama serikalini na kwingineko ibeni vya kutosha ila mkumbuke ammount mlioiba kuacha nusu ya pesa kwenye acc yenye jina lingine,,mnajua siri kubwa na ambayo wananchi wanashangaa mtu kama JEETU PATEL kushindwa kulipa hata mdhamana,wale walivyoiba wakajilimbikizia mali kwa majina yao,serikali walichofanya ni kukamata malizao,ndio maana wameshindwa kutoa za mdhamana,,
wito
IBA KUMBUKA NUSU MASALIO
wito wangu kama mtapa nafasi,,ya kuiba ama serikalini na kwingineko ibeni vya kutosha ila mkumbuke ammount mlioiba kuacha nusu ya pesa kwenye acc yenye jina lingine,,mnajua siri kubwa na ambayo wananchi wanashangaa mtu kama JEETU PATEL kushindwa kulipa hata mdhamana,wale walivyoiba wakajilimbikizia mali kwa majina yao,serikali walichofanya ni kukamata malizao,ndio maana wameshindwa kutoa za mdhamana,,
wito
IBA KUMBUKA NUSU MASALIO