Rmgaya
Member
- Mar 19, 2017
- 39
- 53
Kwa masika Ni laki mbili , kwa kiangazi Ni laki moja mkuuShamba kukodi ni sh ngapi mkuu?
Kwa masika Ni laki mbili , kwa kiangazi Ni laki moja mkuuShamba kukodi ni sh ngapi mkuu?
Zipo maeneo mengi ikiwemo maeneo ya Mbarali Mbeya ,Morogoro, Rudewa pamoja na sehemu zingineScheme kam hizi za umwagiliaji zinapatikana maeneo gani mengine nchini?..na ghalama za kukodi zinakuaje?
#MaendeleoHayanaChama
Hapo ni Meter (12×15) = 180 sq ni Kiwanja kidogo sanaWeka kwenye meter kuna watu hesabu ndogo hiyo ni.mtihanj
Tajiri naona uko makini kwenye matangazo ya Plot ...nakubali chiefVipi mtu anaweza unganisha viwili?
Kwa huu Uzi hajakosea ..coz ni Uzi maalumu wa kila mfanya b'ness kupost Aina ya biashara na locationHivi broo unahofia Nini kuanzisha uzi wako utangaze biashara yako ya asali mbona jf ni jukwaa huru. Kipi unaogopa Hadi kudandia post za watu unaweka matangazo yako tumevumilia tumechoka. Huu upumbavu wa kuweka tangazo upo Sana Facebook Sasa naona umeamua kuuleta huku pia NCHABHILONDAA
Mkuu Hili tangazo halijitoshelezi ..... Hujaandika mkoa ...wilaya umbali kutoka barabara kuu ..bp kuhusu Hati miliki ..viwanja vimepimwa?Hekari 8 za shba zinauzwa yombo mpera zipo karibi na kitonga .Bei hekari moja milioni 4 na nusu4500000.Maelewano yapo.Kwa mawasiliano zaid ni pm.Viwanja mashamba unapata kuanzia laki 700000 na kuendelea umeme unapatikana.Bei kama bure.
Bwana natafuta viwanja nijenge angalau kagheto kangu. Vipi una connection ya viwanjaTajiri naona uko makini kwenye matangazo ya Plot ...nakubali chief
Sent using Jamii Forums mobile app
Viwanja vinapatikana mkoa wa pwani wilaya ya mkuranga.ni kabla hujafika mkuranga.viwanja vimepimwa,hati unapata Km 5 njia ya mbande chamazi kutoka lami ya kitonga,pia km 10 kutoka njia ya kisemvule.Karibu sana ndugu,umeme upo.Mkuu Hili tangazo halijitoshelezi ..... Hujaandika mkoa ...wilaya umbali kutoka barabara kuu ..bp kuhusu Hati miliki ..viwanja vimepimwa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu connection ninayo ...Useme tuu unataka viwanja vya ukubwa ganBwana natafuta viwanja nijenge angalau kagheto kangu. Vipi una connection ya viwanja
Natafuta cha 20 x 20 kisizidi m3 chakujenga ghettoMkuu connection ninayo ...Useme tuu unataka viwanja vya ukubwa gan
Sent using Jamii Forums mobile app
Nitafute mkuu,unapata kwa milion 2 tu.Natafuta cha 20 x 20 kisizidi m3 chakujenga ghetto
Kipo maeneo ganiNitafute mkuu,unapata kwa milion 2 tu.
Pwan,kabla hujafika mkuranga.Kipo maeneo gani
New member mwenzangu Alatwimika,, jifunze basi toka wajasiriamali waliomo humu namna ya kubandika tangazo ili kupunguza au kuondoa maswali mengi! Naomba majibu ya maswali yafuatayo: Unauza ujazo gani? Kila ujazo ni bei gani? Gharama za usafirishaji juu ya nani?Mafuta ya Alizeti toka Dodoma
0688309238
Kadu Bee Honey wauzajivwa asali bora na mbichi toka Tanzania 0657844098.Simple sana
Uzi huu ni maalum kwa wafanyabiashara na mjasiriamali yeyote wa mkoa wowote tujuane tupate connection za bidhaa mbalimbali
Mtoa uzi - Tarime Mara - duka la soft drinks 0782741783