Baba_Enock
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 7,076
- 2,445
Hii ni mahususi kwa wauguzi/wakunga/watoa huduma za afya/ n.k waliosoma Ndolage Nursing School..
Hiki chuo kilikuwa na mandhari mazuri sana ya kusoma na kujifunza na kufanya majaribio kwa vitendo.
Hiki chuo kilikuwa na walimu mahiri sana katika fani ya utoaji huduma za afya<BR><BR>Hiki chuo kilikuwa na kila kitu anachohitaji mwanafunzi..
Namkumbuka sana Mrs. Katabaro, Sr. Ruth, Sir Edel, Mwalimu Tibaijuka, Ma Joyce, e.t.c.. Jikoni kulikuwa na Mzee January, Jafesi, e.t.c !!!
Nawatakia jioni njema wana Ndolage wote popote mlipo
Hiki chuo kilikuwa na mandhari mazuri sana ya kusoma na kujifunza na kufanya majaribio kwa vitendo.
Hiki chuo kilikuwa na walimu mahiri sana katika fani ya utoaji huduma za afya<BR><BR>Hiki chuo kilikuwa na kila kitu anachohitaji mwanafunzi..
Namkumbuka sana Mrs. Katabaro, Sr. Ruth, Sir Edel, Mwalimu Tibaijuka, Ma Joyce, e.t.c.. Jikoni kulikuwa na Mzee January, Jafesi, e.t.c !!!
Nawatakia jioni njema wana Ndolage wote popote mlipo