Moto wa volcano
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 726
- 1,850
Ningekuwa nina nafasi ya kufanya maamuzi katika nchi hii miongoni mwa maeneo ambayo ningeyatilia mkazo ni suala la umiliki wa silaha ningehakikisha nakaza nati naweka sheria ngumu za watu kumiliki silaha, ila kwakuwa hata ujumbe wa nyumba kumi sina wacha niishie kutoa maoni.
Yanayotokea katika mataifa ambayo yamelegeza sheria ya kumiliki silaha hayapaswi kuigwa hata kidogo, hauwezi ukafungua chombo cha habari cha Afrika Kusini au Marekani huko usikutane na habari inayohusu Gun violence, kwakweli ni Hali ya kutisha wanatamani wafanye mabadiliko lakini hawana tena uwezo huo it's too late, Tanzania tujifunze na tuchukue tahadhari.
Yanayotokea katika mataifa ambayo yamelegeza sheria ya kumiliki silaha hayapaswi kuigwa hata kidogo, hauwezi ukafungua chombo cha habari cha Afrika Kusini au Marekani huko usikutane na habari inayohusu Gun violence, kwakweli ni Hali ya kutisha wanatamani wafanye mabadiliko lakini hawana tena uwezo huo it's too late, Tanzania tujifunze na tuchukue tahadhari.