kwa kufuatilia kitabu cha the key of this blood,utaona jinsi freemansons na wakuu wa din zetu wanavyochangia ktk swalazma la "new world order"kama jf jiandae kwa upande uliosalama
Huko tanzania mmeshaanza kutekeleza NWO: tazama Z'bar kimebaki chama kimoja tu, na kuanzia mwakakesho hakuna kununua wala kuuza bila kuwa na kitambulisho chenye alama ya mnyama. Na sasa kutokana na ulegelege wa serikali kutimiza matakwa ya wenye NWO ndo maana vitu muhimu kama mafuta, umeme nk havipatikani japo viko kwa wingi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.