- You know what? huko mahakamani nitamfunua wazi Kiongozi wenu aliyetaka kumbaka demu moja kule London, yaani nyie mmeoza sana!
le mutuz
Hivi nani atakuwa na muda wa kwenda kuhangaika na lizee kama wewe mahakamani , ili upate umaarufu? Nani ana muda na wewe lizee, ungekuwa majuu mpaka leo ungepaswa kuwa kwenye makamb ya kulea mizee kama wewe kwani ungekufa kwa baridi.
Hilo lizee lina matatizo mengi sana , kwa sasa lipo kwenye mgogoro mkubwa wa kifamilia na ndugu zake kuhusu urithi wa mali wakati John bado hajafa , linataka lipewe jukumu la kuendesha moja ya hoteli za malecela iliyopo Merlborn Australia. Ila limekataliwa kutokana na elimu ndogo ,.........