GwaB
JF-Expert Member
- Mar 19, 2014
- 3,581
- 4,640
Mbarawa alitaka kusaini kama Waziri wa miundombinu na Katibu Mkuu wa wizara akasita...Du! 😲KUNA tuhuma nzito zinazoendelea kwenye umma kuhusiana na baadhi ya saini za mkataba wa Tanzania na Dubai kuwa zimeghushiwa...na inaweza kutuletea shida baadae upande mmoja ukaja kusema hautambui mkataba huo.
Hizi tuhuma kwanini wengi hawazingumzii zaidi wanabishana kuhusu kauli ya Mbowe. Wanasheia jitokezeni mtusaidie
View attachment 2654851