Zed
JF-Expert Member
- Mar 28, 2009
- 435
- 257
Uwingi viongozi wa juu na safari zao za nje ya nchi ni mzigo kwetu watanzania. Ni hivi majuzi tu waziri mkuu amerejea kutoka Brazili na Marekani, leo hii Makamu wapili rais wa Zanzibar yuko Uchina, Makamu wa rais yuko Uswiss, baada kurejea kutoka Msumbiji na rais mwenyewe ameelekea Australia. Je nina analipiga gharama hizi zote? Je kwa matumizi haya kodi za wanachi zinatumika vema. Wabunge tunaomba kikao kijacho ulizeni gharama za safari ili wnanchi tujue!