Tufute somo la Historia kama tunashindwa kufundisha historia halisi ya mtu mweusi

Mto Songwe

JF-Expert Member
Jul 17, 2023
6,016
12,298
Tufute somo la historia shule zote kama tumeshindwa kufundishana historia yetu halisi Waafrika.

Kama mpaka sasa tumeshindwa fundishana kuhusu historia yetu halisi inayo tuhusu hapa duniani toka mwanzo mpaka hapa tulipo fikia toka kizazi cha mwanzo mpaka hiki kizazi tulichofikia ni bora somo la historia lifutwe tu.

Kama tumeshindwa kujua sisi ni wakina nani? Tumetoka wapi? tupo wapi? Na tunaenda wapi bora tufute tu somo la historia kila mtu ajipambanie kivyake kujua historia yake.

Haiwezekani historia yetu halisi hatuifahamu hadi leo ila tunachofanya ni kuokoteza tu tuhistoria twa hovyo walivyo tuasisi watu weupe na kutubeba kama mwanzo na mwisho wa historia yetu.

"Kama tunashindwa kujua tulipo toka kamwe hatuta fahamu huko tuendako tutakua tunajiendea tu kama kuku aliye katwa kichwa".
 
Tufute somo la historia shule zote kama tumeshindwa kufundishana historia yetu halisi Waafrika.

Kama mpaka sasa tumeshindwa fundishana kuhusu historia yetu halisi inayo tuhusu hapa duniani toka mwanzo mpaka hapa tulipo fikia toka kizazi cha mwanzo mpaka hiki kizazi tulichofikia ni bora somo la historia lifutwe tu.

Kama tumeshindwa kujua sisi ni wakina nani? Tumetoka wapi? tupo wapi? Na tunaenda wapi bora tufute tu somo la historia kila mtu ajipambanie kivyake kujua historia yake.

Haiwezekani historia yetu halisi hatuifahamu hadi leo ila tunachofanya ni kuokoteza tu tuhistoria twa hovyo walivyo tuasisi watu weupe na kutubeba kama mwanzo na mwisho wa historia yetu.

"Kama tunashindwa kujua tulipo toka kamwe hatuta fahamu huko tuendako tutakua tunajiendea tu kama kuku aliye katwa kichwa".
Naunga mkono hoja, tusipojifunza historia yetu sisi watu weusi kwa kweli tutaendelea kuwa wajinga wa kutupwa na kuamini dini za watu zisizo na mshiko yeyote kwetu.
 
Tufute somo la historia shule zote kama tumeshindwa kufundishana historia yetu halisi Waafrika.

Kama mpaka sasa tumeshindwa fundishana kuhusu historia yetu halisi inayo tuhusu hapa duniani toka mwanzo mpaka hapa tulipo fikia toka kizazi cha mwanzo mpaka hiki kizazi tulichofikia ni bora somo la historia lifutwe tu.

Kama tumeshindwa kujua sisi ni wakina nani? Tumetoka wapi? tupo wapi? Na tunaenda wapi bora tufute tu somo la historia kila mtu ajipambanie kivyake kujua historia yake.

Haiwezekani historia yetu halisi hatuifahamu hadi leo ila tunachofanya ni kuokoteza tu tuhistoria twa hovyo walivyo tuasisi watu weupe na kutubeba kama mwanzo na mwisho wa historia yetu.

"Kama tunashindwa kujua tulipo toka kamwe hatuta fahamu huko tuendako tutakua tunajiendea tu kama kuku aliye katwa kichwa".
Kosa kubwa ambalo waafrika walifanya ni kukumbatia dini za wageni, kama Afrika ingeshituka na kuachana na hizi dini ambazo zimezidi kupumbaza watu na kuzuia watu wasifikirie nje ya box, basi Africa usingekua jinsi ilivyo,
 
Historia ya Mtu mweusi ni ndefu sana na ni kwanini inakanyagiwa? lengo ni kupambana Self esteem na Confidence ya Mtu mweusi kwa hiyo zaidi tunafundishwa historia ya Utumwa.

220px-In_chain_native_australians.jpg
 
Historia ya Mtu mweusi ni ndefu sana na ni kwanini inakanyagiwa? lengo ni kupambana Self esteem na Confidence ya Mtu mweusi kwa hiyo zaidi tunafundishwa historia ya Utumwa.

View attachment 2829366
Hata huo utumwa ni sehemu ya historia ya mtu mweusi, hivyo basi ni muda kwa wanao fahamu historia complete ya mtu mweusi waandike na iwekwe kwenye syllabus, hakuna atakaye zuia.

NB: Mwafrika hana desturi ya kujisomea vitabu.
 
Turudi kwenye mizizi yetu ni kwelii kabisa.
Mimi na swali ni kipi kinachopelea au kuachwa kwenye history yetu?
Historia inayo husu bara la Afrika kwa kiasi kikubwa imeandikwa na Euro centric view,ambapo huonesha bara la Afrika lilikuwa si lolote si chochote kabla ya ujio wa wazungu,hivyo basi ujio wa ukoloni ni baraka ambapo ulileta ustaarabu kwa waafrika.

Lakini Afro centric view,wanadai wazungu walipotosha historia ya mtu mweusi ili kuhalalisha ushezi wao kwa waafrika,hivyo wanajenga hoja muhimu ya mleta mada ,juu ya kuandikwa kwa historia ya mwafrika.
 
Hata huo utumwa ni sehemu ya historia ya mtu mweusi,hivyo basi ni muda kwa wanao fahamu historia complete ya mtu mweusi waandike na iwekwe kwenye syllabus,hakuna atakaye zuia.

NB: Mwafrika hana desturi ya kujisomea vitabu.
Kwanza wanajua kuwa sio Waafrika wote walikubali kuchukuliwa Utumwa kwa upande huu wa East Africa na Pembe ya Africa hata Waarabu wenyewe waliandika kuwa ilishindikana kuchukua Wamasai ili kwenda kuwauza Utumwani kwa sababu mfumo wao umekaa kama wa kijeshi.

Waarabu walikuwa Mombasa walijaribu mara kadhaa kuwavamia Maasai lakini walishangazwa na ujasiri wa Waafrika hao.
11488.jpg
 
Kwanza wanajua kuwa sio Waafrika wote walikubali kuchukuliwa Utumwa kwa upande huu wa East Africa na Pembe ya Africa hata Waarabu wenyewe waliandika kuwa ilishindikana kuchukua Wamasai ili kwenda kuwauza Utumwani kwa sababu mfumo wao umekaa kama wa kijeshi.

Waarabu walikuwa Mombasa walijaribu mara kadhaa kuwavamia Masai lakini walishangazwa na ujasiri wa Waafrika hao.
Nashukuru sana mkuu kwa kuongeza hiyo nyama muhimu ,kuhusu waafrika na utumwa,ni ukweli ulio wazi sio kila jamii ilikubali kuchukuliwa utumwa lakini tunaangalia kwenye uwingi na hapo ndipo hoja yangu imejikita lakini Sina maana ya kusahau ushujaa wa jamii chache walio kataa ushezi wa utumwa,licha kwamba tunao viongozi kadhaa wa kiafrika waliwauza wazi wazi waafrika wenzao.
 
Sio Waafrika wote
Nashukuru sana mkuu kwa kuongeza hiyo nyama muhimu ,kuhusu waafrika na utumwa,ni ukweli ulio wazi sio kila jamii ilikubali kuchukuliwa utumwa lakini tunaangalia kwenye uwingi na hapo ndipo hoja yangu imejikita lakini Sina maana ya kusahau ushujaa wa jamii chache walio kataa ushezi wa utumwa,licha kwamba tunao viongozi kadhaa wa kiafrika waliwauza wazi wazi waafrika wenzao.
Jamii nyingi za Kiafrika zilikataa katakata kuchukuliwa Utumwa zikiwemo Samburu Rendile Turkana Somali Saaho Sidama na nyingine nyingi za Pembe ya Afrika.

Ukiangalia vizuri ni Jamii za Kibantu ndio zililengwa zaidi na Wafanyabiashara wa Utumwa.

Huenda kulikuwa na sababu fulani katika hili sote tunajua Wabantu ni wachapakazi wazuri.

Swali lingine ambalo huwa najiuliza mbona Waarabu walipofika Falme za Rwanda walogopa kuuliza ili wapewe Watumwa?!

Ni kwanini walipitiliza hadi Manyema?

thumbonlinecopy.jpg
slave-market.jpg
 
Historia inayo husu bara la Afrika kwa kiasi kikubwa imeandikwa na Euro centric view,ambapo huonesha bara la Afrika lilikuwa si lolote si chochote kabla ya ujio wa wazungu,hivyo basi ujio wa ukoloni ni baraka ambapo ulileta ustaarabu kwa waafrika.

Lakini Afro centric view,wanadai wazungu walipotosha historia ya mtu mweusi ili kuhalalisha ushezi wao kwa waafrika,hivyo wanajenga hoja muhimu ya mleta mada ,juu ya kuandikwa kwa historia ya mwafrika.
Mbona tumejifunza kuanzia
1- maisha ya kijima.
2-Zama za mawe.
3-Himaya zilizoanzishwa na kufa.
4- Utumwa.
5-Ukoloni
6-Ukoloni mambo leo.
7-utandawazi.

Ukiangalia no 1-3 ni maisha yetu tuliishi kwa kuendelea ikimaanisha isingekua uvamizi labda tungekua sawa nao au kuwazidi.

Swali langu linabaki pale pale kipi kimefichwa?
 
Mbona tumejifunza kuanzia
1- maisha ya kijima.
2-Zama za mawe.
3-Himaya zilizoanzishwa na kufa.
4- Utumwa.
5-Ukoloni
6-Ukoloni mambo leo.
7-utandawazi.

Ukiangalia no 1-3 ni maisha yetu tuliishi kwa kuendelea ikimaanisha isingekua uvamizi labda tungekua sawa nao au kuwazidi.

Swali langu linabaki pale pale kipi kimefichwa?
Tusitegemee tu tulichofundishwa na Mkoloni na Wamisionari ni wakati muafaka sasa sisi wenyewe tufanye research ili tumfunze Mwafrika historia yenye kumuonesha kuwa hakuwa "Hopeless" na kwamba alipambana na kukataa kudhalilishwa.
 
Tusitegemee tu tulichofundishwa na Mkoloni na Wamisionari ni wakati muafaka sasa sisi wenyewe tufanye research ili tumfunze Mwafrika historia yenye kumuonesha kuwa hakuwa "Hopeless" na kwamba alipambana na kukataa kudhalilishwa.
Hata history inayofunzwa inaonyesha yote hayo hao watumwa hawakukusanywa kama kumbikumbi.

Kwa mtazamo wangu history iko wazi kabisaa sema sisi ni wepesi wa kusahau na kupeleka malalamiko kwa wengine.
 
Sio Waafrika wote

Jamii nyingi za Kiafrika zilikataa katakata kuchukuliwa Utumwa zikiwemo Samburu Rendile Turkana Somali Saaho Sidama na nyingine nyingi za Pembe ya Afrika.

Ukiangalia vizuri ni Jamii za Kibantu ndio zililengwa zaidi na Wafanyabiashara wa Utumwa.

Huenda kulikuwa na sababu fulani katika hili sote tunajua Wabantu ni wachapakazi wazuri.

Swali lingine ambalo huwa najiuliza mbona Waarabu walipofika Falme za Rwanda walogopa kuuliza ili wapewe Watumwa?!

Ni kwanini walipitiliza hadi Manyema?

View attachment 2829413View attachment 2829414
Nadhani sababu kuu inaweza kuwa viongozi wa Rwanda hawakutaka kujihusisha na biashara hiyo ukilinganisha na viongozi kama Mtemi Mirambo ambao kwa namna moja ama nyingine walivutiwa na biashara ya utumwa sababu ya faida yake.
 
Tufute somo la historia shule zote kama tumeshindwa kufundishana historia yetu halisi Waafrika.

Kama mpaka sasa tumeshindwa fundishana kuhusu historia yetu halisi inayo tuhusu hapa duniani toka mwanzo mpaka hapa tulipo fikia toka kizazi cha mwanzo mpaka hiki kizazi tulichofikia ni bora somo la historia lifutwe tu.

Kama tumeshindwa kujua sisi ni wakina nani? Tumetoka wapi? tupo wapi? Na tunaenda wapi bora tufute tu somo la historia kila mtu ajipambanie kivyake kujua historia yake.

Haiwezekani historia yetu halisi hatuifahamu hadi leo ila tunachofanya ni kuokoteza tu tuhistoria twa hovyo walivyo tuasisi watu weupe na kutubeba kama mwanzo na mwisho wa historia yetu.

"Kama tunashindwa kujua tulipo toka kamwe hatuta fahamu huko tuendako tutakua tunajiendea tu kama kuku aliye katwa kichwa".
Historia za Vasco dagama na elfu ulela! Daah.
 
Back
Top Bottom