Tufanye nini kuiokoa nchi yetu?

MzeePunch

JF-Expert Member
Jun 8, 2009
1,412
203
Wakuu, nimekuwa nikijiuliza mara nyingi nini kifanyike kubadili mwelekeo wa nchi yetu. Tunashuhudia nchi ikiangamia kwa kukosa huduma muhimu kama umeme na maji, huku maisha yakizidi kuwa magumu zaidi. Watawala tuliowapa dhamana ya kutuongoza hawaonyeshi kuwa serious ku-address matatizo yetu. Kuanzia Rais wa nchi hadi wabunge tunaowasikiliza huko Bungeni hawafanyi jitihada zozote za kuondoa matatizo makubwa yanayolikabili taifa. Ubinafsi umetawala kila mahali huku hali ya maisha ya Watanzania walio wengi ikiendelea kuwa duni kila uchao. Sisi kama wenye nchi tufanye nini sasa?
 
Wakuu, nimekuwa nikijiuliza mara nyingi nini kifanyike kubadili mwelekeo wa nchi yetu. Tunashuhudia nchi ikiangamia kwa kukosa huduma muhimu kama umeme na maji, huku maisha yakizidi kuwa magumu zaidi. Watawala tuliowapa dhamana ya kutuongoza hawaonyeshi kuwa serious ku-address matatizo yetu. Kuanzia Rais wa nchi hadi wabunge tunaowasikiliza huko Bungeni hawafanyi jitihada zozote za kuondoa matatizo makubwa yanayolikabili taifa. Ubinafsi umetawala kila mahali huku hali ya maisha ya Watanzania walio wengi ikiendelea kuwa duni kila uchao. Sisi kama wenye nchi tufanye nini sasa?

Andamaneni.
 
Back
Top Bottom