victor siriamaka
Senior Member
- Jul 19, 2016
- 184
- 191
Even though uzalishaji wa ndani ni mdogo , kwanini hawa wafanyabiashara wasistimulate uzalishaj wa ndani? Wao wanakimbilia kule nje maana wanachota pesa za bure tuu! They should be creative ili walinde uchumi wetu sio kunufaika wao tuu na nchi inabaki kuwa na deficit kila siku. Hawaoni wenzao walilijua mapema wakaanza kujenga viwanda vya mafuta ya alizeti? Tuwe wazalendo bwana hatuwez kuachia market maker wakacontrol uchumi wetu. JPM ni mzalendo na mbunifu sana sana ! Hata India na baadhi ya nchi wamevalia njuga suala hili la mafuta na sukari.