Mcqueenen
JF-Expert Member
- Nov 2, 2019
- 6,818
- 11,542
Hii ni kwa wanaojiita born town..Born iya iya..wazurulaji, watoto wa streets,
Hii Sio kwa wakuja, wale wakifa wanasafirishwa, na wale getikali
Wengine wote: Unaijua Dar weye??
Twende kazi…..
1. Unapajua Tabata Sanene pale?kuna shule gani ya private kubwa?
2. Unapajua Mwenge mitaa ya soshohoo….Hiyo soshohoo ni nini?
3. Unapajua Goba njia nne? Ukianza kurudi njia ya mbezi upande wa kushoto kwa ndani kuna bar gani kubwa? Madonange unaijua?
4.Unapajua kimara matosa weye?
Tajiri Matosa mwenyewe unamjua?
5. Unapajua sea cliff ni wapi?
6. Unapajua Msasani aka masaki B? Kota za Tanesco unapajua?
7. Unaujua mtaa wa Azikiwe? Uko wapi?
8.unaujua mtaa wa Salanga? Uko wapi?
9. Unaijua mitaa ya shekilango iliyoungana na Sinza makaburini mpaka madukani?
10.unapajua mkwajuni? Ipo wapi?
11. Mapinduzi Makumbusho unapajua?
12. Mitaa ya Lulenge,Tanesco,Kanisani unaijua? iko wapi?
13.Charame,kisewe na kibondemaji unapajua? Ni wapi?
14. Ukipita Bonyokwa kuelekea msikitini uelekeo wa Mbezi unafika K…mwisho unapajua? K ni nini?
15.Mivumoni, kwa ndevu na kibaoni ni mitaa ya wapi?
Twendeleee…………
Hii Sio kwa wakuja, wale wakifa wanasafirishwa, na wale getikali
Wengine wote: Unaijua Dar weye??
Twende kazi…..
1. Unapajua Tabata Sanene pale?kuna shule gani ya private kubwa?
2. Unapajua Mwenge mitaa ya soshohoo….Hiyo soshohoo ni nini?
3. Unapajua Goba njia nne? Ukianza kurudi njia ya mbezi upande wa kushoto kwa ndani kuna bar gani kubwa? Madonange unaijua?
4.Unapajua kimara matosa weye?
Tajiri Matosa mwenyewe unamjua?
5. Unapajua sea cliff ni wapi?
6. Unapajua Msasani aka masaki B? Kota za Tanesco unapajua?
7. Unaujua mtaa wa Azikiwe? Uko wapi?
8.unaujua mtaa wa Salanga? Uko wapi?
9. Unaijua mitaa ya shekilango iliyoungana na Sinza makaburini mpaka madukani?
10.unapajua mkwajuni? Ipo wapi?
11. Mapinduzi Makumbusho unapajua?
12. Mitaa ya Lulenge,Tanesco,Kanisani unaijua? iko wapi?
13.Charame,kisewe na kibondemaji unapajua? Ni wapi?
14. Ukipita Bonyokwa kuelekea msikitini uelekeo wa Mbezi unafika K…mwisho unapajua? K ni nini?
15.Mivumoni, kwa ndevu na kibaoni ni mitaa ya wapi?
Twendeleee…………