Matapeli hayo, niliwauliza ofisi zao zilipo wakaingia mitini, alafu huyo hr chrisant msiga eti anasema usimpigie simu tuma sms tu kuwasiliana simu hadi akuruhusu!! Alafu nimetafuta taarifa za hyu hr and registra manager wao chrisant msiga anajiita hazipo popote, yaaani ndugu zangu hao ni matapeli, mi walinitumia email ya kuwa nimekua shorlisted, jamani hiyo lugha iliyoandikwa humo balaa, barua ndefuuuu kingereza kibovu, spelling mistakes za kumwaga, ndipo nilipogundua ni matapeli kwa kweli. Kwa hiyo muwaangalie kwa jicho la tatu hao watu. Wanachukulia ukosefu wa ajira kwa vijana km chanzo cha utapeli.
Wacha kuupotosha umma, kama hujui funguka uwambiwe ukwel, we wakutapel hayo makabrasha wapeleki wap? (Ttwb).na wanajob id na pia wanafanya kazi sambamba na chama cha walimu. Find details kwanza kabla ya kuropoka.