TTCL inapambana na nani kwenye Soko? Halotel!!!!?

Data na Biti

Member
Apr 4, 2011
40
13
Mimi kuna ishu hii inanidatisha...nimesikia kwa chinichini TTCL imeingia kwenye 4G sijajua ni kisiasa au vp!!!!?...maana sijaona hata tangazo lao moja....hivi ni wanaifanyia test au wameingia kabisa kwenye market....mimi bado nazidi kudata...
Sasa pamoja na hayo hivi hawa wanashindana na nani... Halotel!!!?...Kama halotel mimi ninaamini wanamkono mkubwa sana serikalini haiwezekani serikali ikatoa sapoti kubwa namna ile wakati wa uzinduzi wao mpaka makamu raisi na waziri mkuu wote ndani...huu uzinduzi wa TTCL cjui hata nani alikuepo hebu nisaidieni!!!...mimi ninaona TTCL imehujumiwa kiasi kikubwa sana na sio kwamba hawana uwezo wa kufanya biashara ila tu magumashi ya kifisadi mara tunasikia inamilikiwa na airtel...hivi nataka kuuliza kampuni itamilikiwa vipi na mshindani wako...yaani hapa mimi nazidi kudata...huu ni ufisadi kweupe...duh yaani baada ya miaka zaidi ya kumi na tano ndo kwanza naiskia TTCL kwenye biashara eti imezindua 4G...je wanacompete na nani kwenye market...kama halotel wana fiber nchi zima zaidi ya mkongo wa taifa mpaka kila wilaya wamefika na inasapoti kubwa serikalini na sijasikia TTCL ina sapoti yoyote serikalini kama halotel...na kama 4G tigo wanayo ya kufa mtu....

Napenda kuuliza hiyo chini kwa chini 4G ya TTCL wanacompete na nani kabla sijazidi kudata...Mimi naona hili ni moja ya majipu yanayosubiriwa kutumbuliwa

Kama maisha bora mimi ninaona tutasubiri sana kuyapata...sometimes ukifikiria hii nchi inavyoendeshwa unatamani kulia..lakini ndo hivo tumezaliwa tanzania for purpose...tumuombe mungu one day viongozi wote watabadilika...
 
we unapitaga barabara gani kuja mjini mbona wamejaa kila kona na mabango yao na vipeperushi wanagawa, hata kwenye gazeti niliona.
4G yao sio mchezo ni hatariiii
 
huijui TTCL vizuri! na usinambie nikujuze, tafuta mwenyewe (ni rahisi)
 
Mimi kuna ishu hii inanidatisha...nimesikia kwa chinichini TTCL imeingia kwenye 4G sijajua ni kisiasa au vp!!!!?...maana sijaona hata tangazo lao moja....hivi ni wanaifanyia test au wameingia kabisa kwenye market....mimi bado nazidi kudata...
Sasa pamoja na hayo hivi hawa wanashindana na nani... Halotel!!!?...Kama halotel mimi ninaamini wanamkono mkubwa sana serikalini haiwezekani serikali ikatoa sapoti kubwa namna ile wakati wa uzinduzi wao mpaka makamu raisi na waziri mkuu wote ndani...huu uzinduzi wa TTCL cjui hata nani alikuepo hebu nisaidieni!!!...mimi ninaona TTCL imehujumiwa kiasi kikubwa sana na sio kwamba hawana uwezo wa kufanya biashara ila tu magumashi ya kifisadi mara tunasikia inamilikiwa na airtel...hivi nataka kuuliza kampuni itamilikiwa vipi na mshindani wako...yaani hapa mimi nazidi kudata...huu ni ufisadi kweupe...duh yaani baada ya miaka zaidi ya kumi na tano ndo kwanza naiskia TTCL kwenye biashara eti imezindua 4G...je wanacompete na nani kwenye market...kama halotel wana fiber nchi zima zaidi ya mkongo wa taifa mpaka kila wilaya wamefika na inasapoti kubwa serikalini na sijasikia TTCL ina sapoti yoyote serikalini kama halotel...na kama 4G tigo wanayo ya kufa mtu....

Napenda kuuliza hiyo chini kwa chini 4G ya TTCL wanacompete na nani kabla sijazidi kudata...Mimi naona hili ni moja ya majipu yanayosubiriwa kutumbuliwa

Kama maisha bora mimi ninaona tutasubiri sana kuyapata...sometimes ukifikiria hii nchi inavyoendeshwa unatamani kulia..lakini ndo hivo tumezaliwa tanzania for purpose...tumuombe mungu one day viongozi wote watabadilika...



Nilisikia juzi kati kwamba Serikali imenunua hisa zote zilizokuwa zinamilikiwa na Airtel na sasa TTCL yetu ni mali yetu 100%!

Naamini chini ya Raisi Magufuli kwa maana ni mzalendo wa kweli TTCL na wengine watatoboa tu, hawo halotel watachemka tu kwa maana TTCL sasa ni yetu na tutaipa Upendeleo ndani ya nchi yetu, chni ya Uongozi wa Magufuli TanZania yetu haiwezi kushindwa!
 
Kwa nini klunun'gunika? Industry imekuwa sasa na ina washindani wengi tu, kwa uchache Vodacom, Tigo, Airtel, Halotel, Seacom n.k. Wewe unaonekana ni mfanyakazi usiyepata habari vizuri au unaamua kukaa kwa wanu'gunikao kwa sababu zako tu binafsi.

Kwa ufupi industry hii ndo kwanza ipo katikati ya growth na maturity, bado wahudumiwa zaidi ya nusu ya idadi ya wa TZ hawajafikiwa.

Viongozi wa serikali kufungua rasmi siyo issue kabisa, wamefungua Airtel juzijuzi tu hapa, wao wako tayari ku promote mawasiliano kwa mdau yeyote aliye tayari kuhudumia wananchi. Kumbuka hii ni biashara huria TTCL ina chini ya asilimia moja (1%) katiaka soko, kwa hivo hawana influence yoyote, na haiwezekani wakaendelea kupendelewa wakati uwezo wa kusimama wenyewe wanao!

Mambo ya fiber na namna nyingine yoyote yua kufikisha huduma ni nyenzo tu! Wazo la kibiashara (business case), namna ya kufanya biashara (business model) na mikakati (strategies) ndo muhimu, wewe unafanya kazi TTCL halafu hujui kwamba imeenez nchi nzima!

Fanyeni kazi acheni kunun'gunika.
 
Back
Top Bottom