mpingauonevu
JF-Expert Member
- Feb 27, 2012
- 623
- 430
Nilipoteza modem yangu ya airtel. Nikashauriwa nikanunue ya TTCL maana banjuka ni bei rahisi.
Nikaenda kulipa 29,900. wafanyakazi wa pale wakanishauri niweke voucher ya 10,000 ili nitumia mwezi mzima. nikawaambia ngoja niweke 5000 wakakubali. huwezi amini nimetumia kwa JF tu! narudia JF tu! hakuna kudownload wala nini 5000 ikakata ndani ya siku mbili. nikasema labda kuna mahali nakosea, nikaongeza tena 5000! siku mbili sina kitu. JF tu! sijaangalia fesibuku wala email!
Ilipokata nikawapigia customer care ya TTCL wakaniambia iko sawa kwamba dakika nilizotumia ni sawa na eti ni tsh17 kwa sekunde! nikawaambia sawa kwani mimi natumia mda wote? wakaniambia iko sawa na nimesajiliwa vizuri banjuka per second. Nikaongeza tena 5000! Yaani hii hata sikutumia JF hela imelambwa jamani! nikawapigia tena customer care nikawaambia waniambie ni nani niende nikamtupi modem usoni! maana nimechoshwa na WIZI NA UTAPELI WAO!
PLEASE WANA JF NAOMBA SAPOTI TUBANDIKE POSTERS ZA KUSEMA NO KWA TTCL BROADBAND MAANA NI WIZI UTAPELI NA uJAMBAZI! SAY NO FOR TTCL BANJUKA! BANJUKA MY FOOT!!!!!!!!!!!!!!!
Nikaenda kulipa 29,900. wafanyakazi wa pale wakanishauri niweke voucher ya 10,000 ili nitumia mwezi mzima. nikawaambia ngoja niweke 5000 wakakubali. huwezi amini nimetumia kwa JF tu! narudia JF tu! hakuna kudownload wala nini 5000 ikakata ndani ya siku mbili. nikasema labda kuna mahali nakosea, nikaongeza tena 5000! siku mbili sina kitu. JF tu! sijaangalia fesibuku wala email!
Ilipokata nikawapigia customer care ya TTCL wakaniambia iko sawa kwamba dakika nilizotumia ni sawa na eti ni tsh17 kwa sekunde! nikawaambia sawa kwani mimi natumia mda wote? wakaniambia iko sawa na nimesajiliwa vizuri banjuka per second. Nikaongeza tena 5000! Yaani hii hata sikutumia JF hela imelambwa jamani! nikawapigia tena customer care nikawaambia waniambie ni nani niende nikamtupi modem usoni! maana nimechoshwa na WIZI NA UTAPELI WAO!
PLEASE WANA JF NAOMBA SAPOTI TUBANDIKE POSTERS ZA KUSEMA NO KWA TTCL BROADBAND MAANA NI WIZI UTAPELI NA uJAMBAZI! SAY NO FOR TTCL BANJUKA! BANJUKA MY FOOT!!!!!!!!!!!!!!!