Trump Wants Pentagon To Stage Military Parade Down Pennsylvania Avenue

Angalia vizuri yale matransporter ya kim,tale ni 8 wheeler ,special kwa kubebea makombora makubwa,
sasa marekani hanaga utaratibu wa parade za hivyo.
Sasa ili kumatch na kim itabidi transporter zitengezwe haraka sana ,na hizo ndo gharama pentagon wanaumiza kichwa

Marekani haina haja kabisa ya kufanya huo upuuzi.

Trump saa ingine hana akili kabisa.

Natabiri hiyo parade haitokuwepo.
 
50aef07e2b573bbee08aa2132db576e7.jpg


Major General Donald Trump

Naamini kabisa majority ya Wamarekani watalipinga vikali sana hilo wazi. Tena bila kujali itikadi zao za kisiasa!
 
America hana Roadmobile ICBM,
Sasa sijui itakuaje,ndo maana pentagon are scratching their ass trying to think what to do.
Makombora yao ni landbased,silo,submarine launched na ya kurushwa toka kwenye ndege,
kwahiyo hawakuwekeza kwenye yale magari makubwa yanaitwa Transporter,
so parade itakuwepo november,lakini haitaweza kuifikia parade ya mr kim un
ukisikia Missiles Unapeleka mawazo kwenye ICBM peke yake.BTW Military parade wala haina tafsiri yoyote zaidi ya kuonyesha kutojiamini tu.Sasa ukionyesha masilaha unamtisha nani hasa katika ulimwengu huu wa sasa?.U wezo halisi wa kijeshi utabaki kuwa siri ya nchi husika,So hakuna haja ya kutisha watu na hayo makitu Coz probably walishajua unazo hata bado haujazionyesha.Manchi ya ki communist ndo yana hizi show off,Mpaka leo hatuoni maana yake nini hata.
 
First, my take:
If indeed it is true, then he is so wrong. America doesn’t need a military parade down Pennsylvania Avenue.
America is too great a power to flaunt its military might. Leave that to the weak leaders of the world.
Everyone knows what America is capable of. A military parade is just downright unAmerican.


President Trump, apparently inspired by the Bastille Day parade he witnessed last summer during a trip to Paris, has ordered the Pentagon to look into staging something similar — but naturally bigger and better — for Washington, D.C., the White House confirmed Tuesday.

A U.S. official has confirmed the request to NPR. On Tuesday evening, White House press secretary Sarah Huckabee Sanders shared in a statement that "President Trump is incredibly supportive of America's great service members who risk their lives every day to keep our country safe." She added, "He has asked the Department of Defense to explore a celebration at which all Americans can show their appreciation."

U.S. presidents have long shied away from such displays of military prowess — which typically include tanks, missiles and, in some cases, goose-stepping soldiers — for fear of being compared to Washington's Cold War adversaries, where such displays have traditionally been potent symbols of state power. Those countries include Russia (and, formerly, the Soviet Union), China and North Korea.

The president's wish, first expressed months ago, seems recently to have gone from a "seemingly abstract desire" to something closer to a presidential directive at a meeting between Trump and top generals last month, according to The Washington Post.

At the Jan. 18 meeting at the Pentagon that included Defense Secretary Jim Mattis and Joint Chiefs of Staff Chairman Gen. Joseph F. Dunford Jr., "The marching orders were: I want a parade like the one in France," a military official who spoke on the condition of anonymity was quoted by the Post as saying. "This is being worked at the highest levels of the military."

On the return trip from Paris aboard Air Force One in July, the president told aides that he was "dazzled by the French display and that he wanted one at home," the newspaper reports. At the event staged on the postcard-perfect Champs-Elysees, Trump reportedly told French President Emmanuel Macron, "We're going to have to try to top it."

Two months after witnessing the French display, Trump told reporters at the United Nations General Assembly in New York that it was "one of the greatest parades I've ever seen."

A date for such a parade has reportedly not been determined, but the Pentagon prefers Veterans Day in November, according to the Post. The location also has yet to be decided, but the newspaper says the president wants it to proceed along Pennsylvania Avenue, a route that would send it past the White House, the Capitol and the Trump International Hotel.

Source
 
First, my take:
If indeed it is true, then he is so wrong. America doesn’t need a military parade down Pennsylvania Avenue.
America is too great a power to flaunt its military might. Leave that to the weak leaders of the world.
Everyone knows what America is capable of. A military parade is just downright unAmerican.


President Trump, apparently inspired by the Bastille Day parade he witnessed last summer during a trip to Paris, has ordered the Pentagon to look into staging something similar — but naturally bigger and better — for Washington, D.C., the White House confirmed Tuesday.

A U.S. official has confirmed the request to NPR. On Tuesday evening, White House press secretary Sarah Huckabee Sanders shared in a statement that "President Trump is incredibly supportive of America's great service members who risk their lives every day to keep our country safe." She added, "He has asked the Department of Defense to explore a celebration at which all Americans can show their appreciation."

U.S. presidents have long shied away from such displays of military prowess — which typically include tanks, missiles and, in some cases, goose-stepping soldiers — for fear of being compared to Washington's Cold War adversaries, where such displays have traditionally been potent symbols of state power. Those countries include Russia (and, formerly, the Soviet Union), China and North Korea.

The president's wish, first expressed months ago, seems recently to have gone from a "seemingly abstract desire" to something closer to a presidential directive at a meeting between Trump and top generals last month, according to The Washington Post.

At the Jan. 18 meeting at the Pentagon that included Defense Secretary Jim Mattis and Joint Chiefs of Staff Chairman Gen. Joseph F. Dunford Jr., "The marching orders were: I want a parade like the one in France," a military official who spoke on the condition of anonymity was quoted by the Post as saying. "This is being worked at the highest levels of the military."

On the return trip from Paris aboard Air Force One in July, the president told aides that he was "dazzled by the French display and that he wanted one at home," the newspaper reports. At the event staged on the postcard-perfect Champs-Elysees, Trump reportedly told French President Emmanuel Macron, "We're going to have to try to top it."

Two months after witnessing the French display, Trump told reporters at the United Nations General Assembly in New York that it was "one of the greatest parades I've ever seen."

A date for such a parade has reportedly not been determined, but the Pentagon prefers Veterans Day in November, according to the Post. The location also has yet to be decided, but the newspaper says the president wants it to proceed along Pennsylvania Avenue, a route that would send it past the White House, the Capitol and the Trump International Hotel.

Source
Anamuiga kiduku mawigi hovyo kabsa anapotza ela kwajl ya kiduku
 
HAYA NI MAGWARIDE YA KIJESHI YA MAREKANI:

1.
Hili lilifanywa na Raisi Franklin Delano Roosevelt akaweka na sanamu lake kab(The man who made America a formidable super power...Vipi Alikuwa hajiamini naye ???
roosevelt Parade.jpg



2. Hili ni baada ya vita ya Pili ya dunia..Lilifanywa na Raisi Harry S Truman yule aliyelipua Hiroshima na Nagasaki. Vipi naye alikuwa hajiamini ??
New York Parade.jpg


3. Hupa ni Uapisho wa Rais General Dwight Eisenhower. Huyu ndiye aliyeyaongoza majeshi ya Marekani kwenye vita ya pili ya dunia. Unataka kusema naye huyu ni Weak Leader ??
Eisenhowe Parade.jpg


NB: Raisi J.F Kennedy anavyoapishwa alifanya bonge la Gwaride la jeshi.
Niulize tu, How is it so Un-American wakati waliowahi kufanya hayo ni Maraisi wazalendo kabisa wa nchini Marekani ?? kisa tu anayeamua kufanya ni Donald J Trump ??

Raisi George Washington alipotoa farewell Address yake mwaka 1796 Navy ya Marekani iliamua kwenda kumfuata na kutoa heshima za mwisho kwa Raisi wao. Kiufupi Magwaride ya jeshi ni Utamaduni ambao nchi nyingi duniani unafanya...Wala hayana shinda yoyote ile: Trump akitaka kufanya chochote kile mtasema ni UN-AMERICAN....
 
HAYA NI MAGWARIDE YA KIJESHI YA MAREKANI:

1.
Hili lilifanywa na Raisi Franklin Delano Roosevelt akaweka na sanamu lake kab(The man who made America a formidable super power...Vipi Alikuwa hajiamini naye ???
View attachment 692627


2. Hili ni baada ya vita ya Pili ya dunia..Lilifanywa na Raisi Harry S Truman yule aliyelipua Hiroshima na Nagasaki. Vipi naye alikuwa hajiamini ??
View attachment 692628

3. Hupa ni Uapisho wa Rais General Dwight Eisenhower. Huyu ndiye aliyeyaongoza majeshi ya Marekani kwenye vita ya pili ya dunia. Unataka kusema naye huyu ni Weak Leader ??
View attachment 692629

NB: Raisi J.F Kennedy anavyoapishwa alifanya bonge la Gwaride la jeshi.
Niulize tu, How is it so Un-American wakati waliowahi kufanya hayo ni Maraisi wazalendo kabisa wa nchini Marekani ?? kisa tu anayeamua kufanya ni Donald J Trump ??

Raisi George Washington alipotoa farewell Address yake mwaka 1796 Navy ya Marekani iliamua kwenda kumfuata na kutoa heshima za mwisho kwa Raisi wao. Kiufupi Magwaride ya jeshi ni Utamaduni ambao nchi nyingi duniani unafanya...Wala hayana shinda yoyote ile: Trump akitaka kufanya chochote kile mtasema ni UN-AMERICAN....
Mambo ya magwaride yamepitwa na wakati ndo mana hata mifano ulioweka ni ya zamani sana. Na hata enzi hizo walikua wanafanya magwaride kwenye mambo muhimu tu mfano kusherekea ushindi baada ya vita. Trump anaona putin na Kim wanavyofanyiwa parades kila siku basi na yeye anataka.
 
Mambo ya magwaride yamepitwa na wakati ndo mana hata mifano ulioweka ni ya zamani sana. Na hata enzi hizo walikua wanafanya magwaride kwenye mambo muhimu tu mfano kusherekea ushindi baada ya vita. Trump anaona putin na Kim wanavyofanyiwa parades kila siku basi na yeye anataka.
Walifanya Gulf-War Victory Parade hukuona?
Halafu kama unaona Gwaride ni kitu kilichopitwa na wakati basi mtu kama wewe unaweza kuona hata Wimbo wa taifa umepitwa na wakati.

NB 1: Hapa mimi sijaona hata unalalamika nini mkuu. Kama ni siyo American Way of life nimekupa mifano hai kabisa.

Kama ni kutojiamini kama anavyosema mtoa mada basi nauliza Roosevelt, Eisenhower na Truman nao walikuwa ni Weak Leaders ?

Kama ni Uchumi, unataka kuniambia kwamba Marekani anaumia sana kwa hilo Gwaride la siku moja tu ?? Hilo Gwaride hata kwenye bajeti hakionekani kabisaa.

Kama ni utamaduni wa zamani, je vipi kuhusu kuimba nyimbo za taifa ? Vipi kuhusu kufanya Sherehe za Thanksgiving na Halloween, siyo Utamaduni wa kizamani ?

Kama ni kupoteza muda, je vipi kuhusu sherehe za kama Halloween ambazo watu wanatumia Mamilioni ya pesa kununua costumes za kijinga ?

NB 2: Basi Wamarekani watakuwa ni watu wa ajabu sana kuona wanapoteza muda kwenye Gwaride la jeshi ambalo humo ndani kunaweza pia kuwa na kuwakumbuka Veterans waliopigana vita za kuilinda nchi yai halafu waone ni fahari kwenda kusherehekea Halloween..
 
Nimesema wanafanya parade baada vita. Hii kawaida kwasababu wanasherekea ushindi na nchi nyingi za magharibi ndo wanafanya hivyo. Trump anataka kusherekea nini?
Lile la mwaka 1942 lilikuwa baada ya Vita gani ?? Hilo la Kennedy lilikuwa baada ya vita gani ?? Lile la Eisenhower lilikuwa baada ya vita gani ?? (You are not making any sense my friend)

NB: Kabla ya kunijibu haya maswali tafadhali nijibu hayo ambayo nimeongezea kwenye huu uzi wangu wa pili uliounukuu.
 
Lile la mwaka 1942 lilikuwa baada ya Vita gani ?? Hilo la Kennedy lilikuwa baada ya vita gani ?? Lile la Eisenhower lilikuwa baada ya vita gani ?? (You are not making any sense my friend)

NB: Kabla ya kunijibu haya maswali tafadhali nijibu hayo ambayo nimeongezea kwenye huu uzi wangu wa pili uliounukuu.
Mifano yote ulioweka ni wakati wa vita au enzi ya vita baridi. Wakati huo ilikua ina make sense kufanya gwaride. Marekani hawafanyi magwaride hovyo hovyo hata trump wakati anaapishwa aliomba kufanyiwa gwaride akakataliwa. Gharama zake ni kubwa na kuingiza vifaru na silaha nzito za jeshi mitaani ni uharibifu wa miundombinu tu. Wamarekani tayari wana veterans day au memorial day siku ambazo wanashuku wanajeshi. Trump ana dalili za kiongozi dhaifu ambae hajiamini ndo mana anataka kufanyiwa parades, anapenda kusifiwa, hapendi kukosolewa. Hata akiwa anatoa hutuba asipopigiwa makofi anakasirika.
 
Gulf-War ilikuwa ni kipindi cha Vita Baridi ???
Bado hujajibu Bandiko #38
Nimesema kipindi cha vita au vita baridi.

1942 ilikua ni vita kuu ya dunia na baada ya vita kuisha walifanya tena kusherekea ushindi

Eisenhower na Kennedy ilikua cold war era.

Gulf war again ni kusherekea ushindi wa vita.

Ndo mana nimeuliza trump anataka parade kwasababu gani? Hizi sio enzi za vita baridi, dunia nzima inajua kwamba marekani ndo kidume hakuna haja ya kujionesha.
 
"America doesn't need a big parade to show that it has a military. Trust me, the World knows America has a Military.
It's in their countries right now" ~ Trevor Noah
 
Back
Top Bottom