Trump; Rais bora historia ya usa anaechafuliwa na media zinazoficha juhidi zake

sky soldier

JF-Expert Member
Mar 30, 2020
5,407
19,064
1587308197091.png

Hata obama huyuhuyu ambae kaanza kusingizia uongo kwamba trump anatembelea trend ya uchumi aliouacha ni muongo sana, kiukweli obama alisema "haiwezekani" uchumi wa marekani kurudi upya uwe imara labda uchawi ukitumika iwapo trump atachaguliwa.



Trump kafanya mara 10 ya walichodhani hakiwezekani ila fake news kama cnn, msnbc, cbs, nbc, n.k zimeungana na democrats kubeza mafanikio, hata hivyo haisaidii kitu kwasababu wahapewa jina fake news

Tangu aingie:

1, kwa mara ya kwana ukuta umejengwa, imesaidia mno kupunguza maharamia haramu wasio na vibali wanaochangia mno uhalifu

1. Ajira milioni 7

2. Kwa mara ya kwanza nafasi baadhi ya kazi zimezidi wanaozitafuta

3. tatizo la ajira lipo chini mno, rekodi mpya kipindi cha miaka 50 iliyopita hadi sasa

4. tatizo la ajira lipo chini ya asilimia 4 kwa miezi 21 iliyopita

5. tatizo la ajira lipo chini mno rekodi mpya kwa miaka 65 iliyopita

6.idadi ya wanaoomba bima ya kutokuwa na ajira imeshuka ipo chini tangu uhuru

7. Rekodi mpya ya kushuka kwa tatizo la ajira kwa waafrika wamarekani

8. Rekodi mpya ya kushuka kwa tatizo la ajira kwa walatino

9. Rekodi mpya ya kushuka kwa tatizo la ajira kwa wa asia

10. Rekodi mpya ya kushuka kwa tatizo la ajira kwa maveterani

11. Rekodi mpya ya kushuka kwa tatizo la ajira kwa watu wenye disabilities

12. Rekodi mpya ya kushuka kwa tatizo la ajira kwa watu wenye elimu ya chini

13. kwa mara ya kwanza mishahara kuongezeka kwa haraka katika kipindi cha miaka 100, kila mwaka inakua kwa asilimia 3

14. familia za kati kipato kimeongezeka zaidi ya $63,000

15. wamarekani milioni7 wamejitoa katika tiketi za chakula kutoka kwa serikali kwasababu ya kuwa na kipato kidogo

16. umaskini kwa waafrika weusi kiujumla umekuwa chini mno kuliko vipindi vyote

17, umaskini kwa walatino kiujumla umekuwa chini mno kuliko vipindi vyote

18. DOW, S&P 500, and NASDAQ zimegonga juu kuliko vipindi vingine

Dah huyu mzee ananichosha kutype sasa. ila mzee yupo moto, kuna kipindi alienda graduation ya airforce alishikana mkono na wahitimu zaidi ya elf 1 kuwapa kila la kheri ila hivi vitu fake news hawaoneshi ni media chache tu kama fox news ndio wanaonyesha.



ila licha ta haya yote haya mafanikio yamekuwa msumari wamoto kwa chama pinzani na wameshindwa kuficha chuki zao na kuishia kuonekana watoto

1587310607308.png
 
Sasa siungeorodhesha hivyo vitu alivyofanya ili turahisishe mjadala huu.

Sent using Jamii Forums mobile app
1. Ajira milioni 7

2. Kwa mara ya kwanza nafasi baadhi ya kazi zimezidi wanaotafuta

3. tatizo la ajira lipo chini mno, rekodi mpya kipindi cha miaka 50 iliyopita hadi sasa

4. tatizo la ajira lipo chini ya asilimia 4 kwa miezi 21 iliyopita

5. tatizo la ajira lipo chini mno rekodi mpya kwa miaka 65 iliyopita

6.idadi ya wanaoomba bima ya kutokuwa na ajira imeshuka ipo chini tangu uhuru

7. Rekodi mpya ya kushuka kwa tatizo la ajira kwa waafrika wamarekani

8. Rekodi mpya ya kushuka kwa tatizo la ajira kwa walatino

9. 7. Rekodi mpya ya kushuka kwa tatizo la ajira kwa wa asia

10. 7. Rekodi mpya ya kushuka kwa tatizo la ajira kwa maveterani

11. 7. Rekodi mpya ya kushuka kwa tatizo la ajira kwa watu wenye disabilities

12. 7. Rekodi mpya ya kushuka kwa tatizo la ajira kwa watu wenye elimu ya chini

13. kwa mara ya kwanza mishahara kuongezeka kwa haraka katika kipindi cha miaka 100, kila mwaka inakua kwa asilimia 3

14. familia za kati kipato kimeongezeka zaidi ya $63,000

15. wamarekani milioni7 wamejitoa katika tiketi za chakula kutoka kwa serikali kwasababu ya kuwa na kipato kidogo

16. umaskini kwa waafrika weusi kiujumla umekuwa chini mno kuliko vipindi vyote

17, umaskini kwa walatino kiujumla umekuwa chini mno kuliko vipindi vyote

18. DOW, S&P 500, and NASDAQ zimegonga juu kuliko vipindi vingine
 
sawa ila
View attachment 1423829

Hata obama huyuhuyu ambae kaanza kusingizia uongo kwamba trump anatembelea trend ya uchumi aliouacha ni muongo sana, kiukweli obama alisema "haiwezekani" uchumi wa marekani kurudi upya uwe imara labda uchawi ukitumika iwapo trump atachaguliwa.



Trump kafanya mara 10 ya walichodhani hakiwezekani ila fake news kama cnn, msnbc, cbs, nbc, n.k zimeungana na democrats kubeza mafanikio, hata hivyo haisaidii kitu kwasababu wahapewa jina fake news

Tangu aingie:

1. Ajira milioni 7

2. Kwa mara ya kwanza nafasi baadhi ya kazi zimezidi wanaozitafuta

3. tatizo la ajira lipo chini mno, rekodi mpya kipindi cha miaka 50 iliyopita hadi sasa

4. tatizo la ajira lipo chini ya asilimia 4 kwa miezi 21 iliyopita

5. tatizo la ajira lipo chini mno rekodi mpya kwa miaka 65 iliyopita

6.idadi ya wanaoomba bima ya kutokuwa na ajira imeshuka ipo chini tangu uhuru

7. Rekodi mpya ya kushuka kwa tatizo la ajira kwa waafrika wamarekani

8. Rekodi mpya ya kushuka kwa tatizo la ajira kwa walatino

9. Rekodi mpya ya kushuka kwa tatizo la ajira kwa wa asia

10. Rekodi mpya ya kushuka kwa tatizo la ajira kwa maveterani

11. Rekodi mpya ya kushuka kwa tatizo la ajira kwa watu wenye disabilities

12. Rekodi mpya ya kushuka kwa tatizo la ajira kwa watu wenye elimu ya chini

13. kwa mara ya kwanza mishahara kuongezeka kwa haraka katika kipindi cha miaka 100, kila mwaka inakua kwa asilimia 3

14. familia za kati kipato kimeongezeka zaidi ya $63,000

15. wamarekani milioni7 wamejitoa katika tiketi za chakula kutoka kwa serikali kwasababu ya kuwa na kipato kidogo

16. umaskini kwa waafrika weusi kiujumla umekuwa chini mno kuliko vipindi vyote

17, umaskini kwa walatino kiujumla umekuwa chini mno kuliko vipindi vyote

18. DOW, S&P 500, and NASDAQ zimegonga juu kuliko vipindi vingine

Dah huyu mzee ananichosha kutype sasa. ila mzee yupo moto, kuna kipindi alienda graduation ya airforce alishikana mkono na wahitimu zaidi ya elf 1 kuwapa kila la kheri ila hivi vitu fake news hawaoneshi ni media chache tu kama fox news ndio wanaonyesha.
Usisahau kutaja na deni linalokua kwakasi

Sent using My COVID-19
 
Mkuu hata dewji utajiri wake unapoongezeka na madeni yanaongezeka, hii mbona ni elimu basic sana kwa finance
Acha uzushi na uongo

Germany ndio nchi ambayo iko vizuri zaidi Uchumi wake ukikua bila matatizo, Germany ndio first world country ambayo ina ratio nzuri ya deni to recommended debt to gdp percentage ya asilimia sitini

USA deni liko asilimia mbaya na ana hali mbaya kulilipa na deni linapokuwa kubwa riba inakuwa kubwa mapato limited ya serikali yanaenda kwa wadeni i.e deni likiwa asilimia 200 inamaana serikali inalipa 5% ya GDP kama riba kila mwaka huku Federal govt mapato hayafiki 20% ya GDP wakati huohuo humo ndani hayo mapato wamechukua na michango ya pensheni ya wafanyakazi



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha uzushi na uongo

Germany ndio nchi ambayo iko vizuri zaidi Uchumi wake ukikua bila matatizo, Germany ndio first world country ambayo ina ratio nzuri ya deni to recommended debt to gdp percentage ya asilimia sitini

USA deni liko asilimia mbaya na ana hali mbaya kulilipa na deni linapokuwa kubwa riba inakuwa kubwa mapato limited ya serikali yanaenda kwa wadeni i.e deni likiwa asilimia 200 inamaana serikali inalipa 5% ya GDP kama riba kila mwaka huku Federal govt mapato hayafiki 20% ya GDP wakati huohuo humo ndani hayo mapato wamechukua na michango ya pensheni ya wafanyakazi



Sent using Jamii Forums mobile app
nahisi jamaa atakua kashakuelewa nandio maana hua wanaekewa vikomo vyakukopa kwkaukhof mambo kama haya.

Sent using My COVID-19
 
Back
Top Bottom