ina maana kila mwanamke mzuri lazima umuonje?
kwani ulikuwa na ulazima gani kuzaa nae? si ungempotezea tu?
yaani mtu unajijua umeowa alafu hawara yako anakuomba mimba na wee unampa kwa roho nyeupee.
kwakweli umeitia doa kubwa sana ndoa yako. you should tell your wife all the details
kwani ulikuwa na ulazima gani kuzaa nae? si ungempotezea tu?
yaani mtu unajijua umeowa alafu hawara yako anakuomba mimba na wee unampa kwa roho nyeupee.
kwakweli umeitia doa kubwa sana ndoa yako. you should tell your wife all the details