Alwayz on top
JF-Expert Member
- Jun 5, 2012
- 706
- 264
Treni imegongana na lori la mohammed enterprises..ilikua uzembe wa dereva wa lory kwa kusmama relini wakat malori mengine yamesimama ktk ajal hyo hakuna aliyekufa lkn Driver wa locomotive aliumia mguu,na escortee wa mbolea aliumia mkono wengine waliokuwemo kama shunters,police hawakupata madhara yayote. Source- Nahusika na maeneo hayo